Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

Pamoja na yote uliyoyaandika kuhusu uvivu wa watanzania nk. lakini bado hauwezi kuondoa Ukweli huu, Tanzania kuna njaa, na watanzania wengi wanataabika kwa njaa, na wengi wanaangamia.
Juhudi la haraka za makusudi zinahitajika kufanyika sasa ili kuwanusuru.
Serikali kamwe haipaswi kulikwepa jukumu hili. Tanzania ni mali ya watanzania wote.

Kama kuna Pesa za kununua ndege kadhaa ambazo zaidi ya Asilimia 99 ya watanzania hawata weza kuzipanda maishani mwao, kwanini kukosekane pesa za kununulilia chakula ili kuwanusuru mamilioni ya watanzania waliopo katika hatari ya kuangamia?
Yawezekana unaongea some logics, ila ni vema pia, ila ukitaka kumsaidia mtu hasipate the same tatizo litakolokucost baadae tena inapaswa umuoneshe au kumjulisha njia ajitambue na ajikwamue
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Inawezekana wewe unacho ndiyo maana unasema hivyo wewe si tofauti na yule mkuu wa wilaya aliyesema unasoma ili uajiriwe kwaninini ilihali yeye kaajiriwa si naye angeachia ajira Tanzania ni nchi yenye sehemu zenye ukame sana hivyo njaa haiwezi kukosekana Simiyu yenyewe mojawpo utalima zao gani mkuu kule la haraka likakubali
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Kwa iyo wananchi wakachukue maji mto nile wafanye kilimo cha umwagiliaji kama misri? Au umeongea nn hujaeleweka!
 
Kwa iyo wananchi wakachukue maji mto nile wafanye kilimo cha umwagiliaji kama misri? Au umeongea nn hujaeleweka!
Mkuu mto Nile nimetolea mfano nina maana tunatakiwa tuanzishe kilimo cha umwagiliaji kutumia mito na maziwa tuliyonayo
 
Kilimo cha umwagiliaji ni lini kimewahi kuwa kipaumbele cha serikali za CCM?

Acha kujitoa akili.

Unasubiri hadi kiwe kipaumbele cha serikali ndio ufanye???
Watanzania wachache wanaojitambua tayari wanafanya kilimo cha umwagiliaji pasipo mkono wa serikali. Tembelea sehemu za kilosa kando ya mito ujionee raia wachapa kazi wasio wavivu wa kufikiri wanavyopiga mazao ya chakula na biashara.
Ukweli ni kwamba ndani ya nchi hii kuna opportunities nyingi mno kwa raia kuchukua au kuzitumia bila kusubiri serikali ije kukwambia cha kufanya.
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Usichukie ukiambiwa wewe ni zezeta!

Lini miundombinu ya umwagiliaji imejengwa!
 
Tanzania kuna njaa kweli kweli. Huo ndio ukweli. Bora tuseme ukweli ili tupone, kuliko kuficha aibu huku tukiangamia.

Achana na porojo za yule 'Mfalme' asiyependa kuusikia ukweli unaomuumbua.
Kalime mazao yanayostahimili ukame uone kama utakuwa na njaa. Naona Mr. Vya bule yuko akilini mwako. Pigs kazi acha kulalama serikali haitakuletea chakula by unbani kwako.
 
Kilimo cha umwagiliaji ni lini kimewahi kuwa kipaumbele cha serikali za CCM?

Acha kujitoa akili.

Chakula cha familia yako kiwe kipaumbele cha CCM? kwa msimamo huu mtalalamika sana.Ninakutana na watanzania wanaojua majukumu yao wanaotafuta maeneo ya kumwagilia na kuvuna wanachotaka na kwa wakati wanaotaka.Nimekutana na wakulima ambao hawajawahi kusaidiwa na mtu yeyote ili waanze umwagiliaji.Baadhi yao walianza kwa kubeba maji kwa mikono yao( Ilula kando kando ya barabara kuu utawaona) wengine wakamudu kununua pampu za kuendesha kama baiskeli wakasonga mbele hadi wanatumia mashine za mafuta.

Mnasubiri umwagiliaji kwa miundombinu ya serikali.Ni sawa na hapa jiulize ukiacha mahali ulipong'ang'ania kuishi umewahi kutafuta eneo lenye mifereji iliyotengezwa tayari ukaikosa nchi nzima? Je iliyopo imetumika inavyopaswa? Au mpka usukumwe? Njaa itatusukuma.

Niliwashauri wenye nia ya dhati ya kuepuka kilimo cha mvua tu watafute Kenya Mashariki Wakamba wamefanya nini.Yapo maeneo Ukambani mvua inanyesha siku 14 tu kwa mwaka njaa wameisahau.Hawakusubiri wahisani wala Serikali.Kilichowapa maarifa ni njaa.Mkamba mmoja tu alijiuliza tumesaidiwa miaka Zaidi ya 50 njaa haiishi,je tuendelee kusubiri misaada milele? Jibu lake likawa hapana tuiondoe njaa wenyewe akawahamasisha ndugu zake na kuwahimiza namna ya kufanya.

Hawakumkubali kirahisi,matokeo ya waliokubali yaliwashawishi waliokataa.Unaposubiri kitu cha kufanya njaa haisubiri.
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Huuu unafiki mtaacha lini,msisapoti jambo kumfurahisha mfalme kuweni wakweli jamani,unafki mwisho wake mbaya.
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Nchi kama misri walijua wako jangwani hivo walitengeneza miundo mbinu ya umwagiliaji ili waepuke balaa la kukosa chakula

Sasa unapokuja na hoja ya kilimo cha umwagiliaji lazima ujue nchi yetu iko katika ukanda ambao hua tunategemea mvua ila hali ya hewa imebadilika sasa tunapata matatizo sasa wananvhi wajitemgenezee miundo mbinu ya umwagiliaji ?? Kama maji ya kutumia tu simiyu ni shida hayo ya kumwagilia wanapata wapi


Acha kuwa mnafki
 
Yawezekana unaongea some logics, ila ni vema pia, ila ukitaka kumsaidia mtu hasipate the same tatizo litakolokucost baadae tena inapaswa umuoneshe au kumjulisha njia ajitambue na ajikwamue
Kwa kiwango gani unaifahamu hii nchi? Labda tuanzie hapo!
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Tanzania imeishia DAR tu.
 
Kwa iyo wananchi wakachukue maji mto nile wafanye kilimo cha umwagiliaji kama misri? Au umeongea nn hujaeleweka!
Mkuu hawa wanaongea UPUUZI kwa kutumia nadharia za KIPUUZI! Hawaijui nchi ilivyo, kwakuwa hawana njaa, hawaielewi njaa! Ni ngumu!
 
Back
Top Bottom