Ni aibu Kujipa matumaini kuwa iko siku CHADEMA itaongoza nchi

Anaishi gizani mpaka leo ngojea uteuzi lKini uwe tayari kukubari kutka watu na kukubari kujichekesha kwa kila atakachosema kama yeye anapenda wimbo mwanaume suruwali kwanini asikupende wewe.
 
Tanzania haitakuja kuongozwa na Upinzani uchwara wa Mbowe na genge lake Never
huyu Asiye taka kukosolewa,Huyu mtaka Demokrasia kwake Hakuna!!
Huyu Mnafiki na mzandiki apewe nchi!!
Labda chadema Yakizazi kingine na si hiki kizazi cha Vibendera
 
Anaishi gizani mpaka leo ngojea uteuzi lKini uwe tayari kukubari kutka watu na kukubari kujichekesha kwa kila atakachosema kama yeye anapenda wimbo mwanaume suruwali kwanini asikupende wewe.
Da! Umejitahidi kuandika lakini bado kazi unayo
 
Pia ni aibu kubwa watu kufikiri Chama kimoja kinaweza kukaa madarakani daima. Ni mungu pekee aliye wa milele; Ni vema kuongea kama Uhuru Kenyatta kwamba akiacha kuwa rais maisha yataendelea hatakufa na hakuzaliwa na urais. Kenyatta anaona mbali ila Polepole kuwaambia watanzania hivyo ni kumkufuru Mungu na kuwadharau watanzania. Ufaransa kwenye mchuano wa sasa hivi hamna vyama kongwe kwani vyote vimerushwa nje kwenye mchujo wa kwanza.

Mungu pia anaiona Tanzania na ninaamini Muda ukifika atafanya anachoona kinaifaa Tanzania zaidi. Polepole hayuko katika akili za Mungu aache matusi
 
Pole Pole ni mmojawapo wa viongozi waliopofushwa fikra tulionao katika kizazi hizi na kwa maana hiyo haoni mbele zaidi ya anapokanyaga kwa hiyo kuishia kuugonga ukuta ni kitu kilicho dhahiri ni suala tu la wakati.
 
Kumbuka ccm ipo madaraka kwa wizi, gilba na kwa uovu tu, kama uchaguzi utasimamiwa na Malaika HAKIKA CDM ITASHINDA, ILA SIKU ZOTE CCM HUWA CCM INANG'ANG'ANIA SHETANI ASIMAMIE ILI AWE UPANDE WAO.
 
John Joseph Pombe Magufuli,waziri wa zamani ni wizara kadha ndani ya serikali ya awamu ya tatu na ya nne,mume wa Mama Janeth na baba wa watoto leo amekuwa Mtakatifu kiasi ambacho hastahili kukosolewa?Naamini dhamira yake ni kuitumikia nchi na si kutukuzwa kiasi ambacho ionekane kama hafanyi makosa.Alikosolewa Gadafi aliyetoa hata pesa ya kuolea itakuwa ajabu kukoselwa kwa Raisi Magufuli.Ninachopinga ni kumkososa kwa matusi,hilo sikubaliani nalo.
Mkuu kweli. Hata mimi nakuunga mguu kwa hilo. Unakuta mkosoaji hajawahi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa ila anatukana rais.
 
Wapo watu, ama hawajitambui, ama elimu zao ni ndogo, ama ni wendawazimu. Kila kukicha wanamshambulia JPM wakidhani kufanya hivyo wataiingiza Chadema ikulu mwaka 2020. Ningewapongeza sana kama wangeendelea kutapanya sera zao, kutafuta wanachama wa kutosha, kufungua matawi sehemu mbalimbali nchini n.k huko kungefufua matumaini. Lakini kutukana mitandaoni na kukejeli hadi uteuzi wa mh.Rais huku ni kujilisha upepo.
Naunga mkono hoja na sisi wengine hili tuliisha lisemea kitambo nyuma

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.

Paskali
 
Kwa takribani miaka 10 wanaJF wamekuwa wakiihoji chadema kuhusu ujenzi wa ofisi za Chama ....hakuna majibu wala utekelezaji...sitegemei watanzania kuwapa nchi chadema milele na milele...!
 
Wapo watu, ama hawajitambui, ama elimu zao ni ndogo, ama ni wendawazimu. Kila kukicha wanamshambulia JPM wakidhani kufanya hivyo wataiingiza Chadema ikulu mwaka 2020. Ningewapongeza sana kama wangeendelea kutapanya sera zao, kutafuta wanachama wa kutosha, kufungua matawi sehemu mbalimbali nchini n.k huko kungefufua matumaini. Lakini kutukana mitandaoni na kukejeli hadi uteuzi wa mh.Rais huku ni kujilisha upepo.
Mh..sasa hapa tunazungumzia siku yoyote au 2020? Kichwa cha habari kinazungumzia siku isiyojulikana, content imejikita 2020:(

Anyways, nakubaliana na wewe "hypothetically", japo hujaweka facts zozote kama una uhakika gani hayo hayafanyiki. Au unataka waje hapa kukujibu ujue mbinu zao?

Pia niwatetee hapa, kwa serikali hii hayo yana ugumu wake kufanyika mana ni siasa hiyo, sasa si unakumbuka Mh. Rais alisema nini alipoingia madarakani?
Pia lazima yalete mikusanyiko, na tumeona hadi sasa kimewapata nini hata pale walipokusanyika kwa mambo ya misiba tu.

Pia nadhani ungeiweka vizuri zaidi kwa kusema "Upinzani". Why Chadema? au wewe ni CCM, mana CCM nionavyo mimi the only threat kwao ni Chadema.
 
Wapo watu, ama hawajitambui, ama elimu zao ni ndogo, ama ni wendawazimu. Kila kukicha wanamshambulia JPM wakidhani kufanya hivyo wataiingiza Chadema ikulu mwaka 2020. Ningewapongeza sana kama wangeendelea kutapanya sera zao, kutafuta wanachama wa kutosha, kufungua matawi sehemu mbalimbali nchini n.k huko kungefufua matumaini. Lakini kutukana mitandaoni na kukejeli hadi uteuzi wa mh.Rais huku ni kujilisha upepo.

Ina kuuma nini wewe??

Kwani hawaoni 'Double Standard' na UKABILA kwenye utumbuaji??Lugumi,UDA zote za kutoka Kanda ya ziwa wezi na majangili.

Makonda mkwapuaji mzuri na anayedhulumu mali za wafanya biashara na cheti fake.Sijamalizia na kile Kivuko kibovu cha Bilioni nane,halafu ati kuna msafi,labda siyo hiki chama tunachokijua,Chama Cha Majangili/Mauaji
 
Kwa takribani miaka 10 wanaJF wamekuwa wakiihoji chadema kuhusu ujenzi wa ofisi za Chama ....hakuna majibu wala utekelezaji...sitegemei watanzania kuwapa nchi chadema milele na milele...!

Tuleteeni ofisi za CCM zilizojengwa baada ya vyama vingi,hizi zote zimejengwa na watanzania mali ya serikali Chama Cha Majangili kama kawaida yake ikapora,CCM hamna hata jengo moja yote mmekwepua toka serikalini.
 
Naona viwanda ni kuwa na ID nyingi humu na kuandika madudu kama haya hongera kwa kuwa unalipwa chochote
 
Nafikiri wewe ndiye umepoteza matumaini , uyui tabora wamewaonyesheni kuwa ccm Siku zake zinahesabika

Walitegemea Lipumba akiua Umoja wa Vyama vya upinzani basi watashinda bila shaka leo wanahasira ndiyo sababu wamekuja kama siafu
 
Mkuu@Makusudically ni uzuzu uliopitiliza uliopitiliza kudhani chama chenye nasaba na taiga hili ni ccm pekee. Iweje mabeberu waliiamini tanu wakaikabidhi nchi na isiwe wananchi wana wa nchii hii wasiamini chama chochote cha upinzani?

Nasema ni suala la muda tu, kitapatikana chama mbadala na ccm itatoka madarakani bila kutarajia, yes nasema bila kutarajia maana hivyo ndivyo itakavyokuwa!!!
Wacha tufanye kazi!
Brother things are made to happen, huwezikutarajia kutokea kwa mabadiliko bila maandalizi ya kimkakati kuyafanya yatokee. Ok, CCM imetuchosha hili halina mjadadala, lakini unajenga vipi matarajio ya CCM kuondoka madarakani kwa mkono wa upinzani wakati siku ni zilezle j.3, j.4, j.5 nk, majira ni yaleyale Jan,Feb,Mar nk watu ni walewale Wabena,Wasukuma,Wakwele nk vyama ni vilevile CHADEMA, CCM, CUF nk, wagombea ni walewale miaka nenda rudi, kibaya zaidi Tume ya UCHAGUZI, KATIBA ,SHERIA na KANUNI za uchaguzi ni zilezile zilizoifanya serikali ya CCM kudumu madarakani mihula yote, Sasa ktk mazingira hayahaya tunayoelekea kuingianayo uchaguzi 2020 tunajenga tumanini la mabadiliko ktk lipi? labda sasa tusubiri divine Intervention. Remember, life is not a game of chance but a matter of choice, My take, umefika wakati sasa wa vyama vya upinzani kuachana na ndoto (KIPAUMBELE) za Ikulu na kuweka kwanza mikakati kabambe ya kuuelimisha umma kudai KATIBA mpya itakayojenga mazingira mapya yenye DEMOKRASA ya kweli ktk vyama vingi, baada ya kujenga democratic fair grounds ndipo sasa tutarajie mabadiliko kupitia upinzani wa kisiasa bila hivyo ndoto za mabadilko hazitakaa zitimie labda kupitia COUP^ D' E ................!!!!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom