Ni aibu ama inakuaje?

Ukipishana na Mama yako au mama mdogo anabadilika?
 
Watu kwa kutaka sifa ni hatareeeee..... uckute una sura ngumu, ya kibaka mwizi au jini
 
Watakuwa wanakuona ni wa jinsia yao ila wanashangaa mbona umevaa kiume?
 

Ndio Maana Hata Mimi Nashangaa Mkuu, Kwani Hata Marafiki Zangu Wao Wanawake Wanapokutana Nao Aiwi Hivi, Kipindi Nakaa Kwetu Niliwah Kumuuliza Mama Hili Swala Akanijibu Kuwa Mimi Mzuri Japo Nilichukulia Kma Matani Ya Mama Na Mtt Alafu Pia Sikuamin Kma Hiyo Ndoio Sabb Coz Kuna Wengine Wazur Tuuu Lakin Hali Hii Aiwatokei Kma Mimi, Hapa Kidogo Naweza Kubaliana Na Ww Kuhusu Some Hiden Power Mimi Naona Si Kawaida Yaan Hata Wanawake Walio Ndan Ya Ndoa??????
 
Last edited by a moderator:
Unatumia simu ya mchina ambapo ukibonyeza space bar maandish yanaanza na herufi kubwa
 

kapicha nikupe sababu
 
siku ukikutana na binti akafanya tofauti na ulichokisema, fanya unaloweza kuwa nae kwenye mahusiano, atakufaa daima.
 
جاسطجم سذوجد دفوجطصدفمم فس سرج ومدأجفط موجدجامفسس دصو طجدفو ساجف سفجاطمسدج سفط سدج ط٦٥١٠٦٥٢halafu utaniambia mkubwa!
 
Iseee.....Hatari Sana!!!! Inawezekana Kweli Mkuu??
 
Mi niko nje ya mada jinsi ya kuangalia kama umepangiwa chuo au shule gani siwez nisaidien anaejua nimtajie jina aniangaluzie plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…