Labda umerithi kitu ambacho hukijui sababu hukioni
mimi nilipoanza secondary nilikuwa nashangaa nateuliwa kuwa kiranja
hata kama sitaki.......baadae nikaenda kuuliza uliza home nikaambiwa
babu yangu alikuwa kiongozi kuanzia shuleni hadi ukubwani kwenye serikali
so labda nilikuwa nimerithi kitu ambacho wengine wanakiona huku mimi mwenyewe sikioni...
kuna ulimwengu wa spirits....kina Kaunga na MziziMkavu wanaweza kukuambia..
unaweza kuwa umerithi kitu ambacho watu wengine wanakiona we hukioni..uliza vizuri kwenu
kuwa handsome sio sababu...kabisa.....kuna kitu
labda 'some hidden power'
Sikai Nao Kwa Sasa!!Ukipishana na Mama yako au mama mdogo anabadilika?
Inawezekana Pia!!Watu kwa kutaka sifa ni hatareeeee..... uckute una sura ngumu, ya kibaka mwizi au jini
Sio Kweli Mkuu!!!Unatumia simu ya mchina ambapo ukibonyeza space bar maandish yanaanza na herufi kubwa
Inaweza Kuwa Reason Kweli??
Ni Muda Sasa Hali Hii Imekua Ikinishangaza, Yaani Ipo Hivi; Mimi Popote Niwapo, Ikitokea Nimekutana Na Mwanamke Ni Lazima Atabadilika!!! Mfano, Napita Sehemu Na Kuna Mwanamke Anakuja Tupishane, Basi Akiniona Tuu, Atabadilika!! Wengine Uangalia Chini Mpka Tunapopishana, Wengine Ujiweka Sawa Mavazi, Wengine Ujikagua Mwili. Hayo Yote Hufanyika Pale Napokutana Popote Na Mwanamke, Mara Ya Kwanza Nilidhani Ni Aibu Za Wanawake, Lakin Cha Kunishangaza Ni Mpka Watu Wazima Walio Pevuka Ambao Auwezi Kutegemea Ya Kwamba Watakua Na Aibu!! Hali Hii Imekua Ikinitokea Sanaaa Napokutana Na Mwanamke Yaan Tunapopishana Njiani, Kuna Wale Ambao Siwafahamu Kabisaa Yaan Kila Mtu Na Hamsin Zake Na Kuna Ambao Nawafahamu Wote Wapo Hivyo Hivyo, Je Hali Hii Ni Nini Sabbu Yake?? Yaan Ni Kma Kila Mwanamke Naepishana Nae Popote, Anakua Kma Amepoteza Kujiamini Hivi, Hivi Hii Inaweza Kuwa Ni Aibu Kweli?? Je Aibu Hii Ni Hata Kwa Mtu Asiekuhusu Unaepishana Nae Tuu??
Hata Hiyo Avatar Yangu Ni Picha Yangu Pia!!kapicha nikupe sababu
Hata Hiyo Avatar Yangu Ni Picha Yangu Pia!!
Ka we ni mrefu,mwil wastan,handsome afu weuc flan iv lazma ata mm mwili ungekufa ganzi
!!!!!Kwa Nn Umesema Hivyo?? Fafanua Mkuu.siku ukikutana na binti akafanya tofauti na ulichokisema, fanya unaloweza kuwa nae kwenye mahusiano, atakufaa daima.
Kwa Nn Umesema Hivyo?? Fafanua Mkuu.
Iseee.....Hatari Sana!!!! Inawezekana Kweli Mkuu??جاسطجم سذوجد دفوجطصدفمم فس سرج ومدأجفط موجدجامفسس دصو طجدفو ساجف سفجاطمسدج سفط سدج ط٦٥١٠٦٥٢halafu utaniambia mkubwa!