Ni aibu ama inakuaje?

Ni aibu ama inakuaje?

Labda upo uchi...au wanastori zako za ndani maana ukiona mwananke anakuonea haya hivyo ujue anaprofile yako yote tena ile ambayo ingetakiwa kuwa low...
Eehhee!!!!! Ehhhhee!!! Sio Ikiwa Hivyo Anakua Na Dharau?? Mfano Halii Inanitokea Hata Sehemu Ambazo Sifahamiki, Sasa Hiyo Profile Wanaipataje???
 
Mhmm jamani tuseme wewe ni xxxgxx enh?? We kabila gan kwanza??
 
mim kila nikakaa na mwanamke lazima ang"ate vidole ata kama hana kucha mara anahangaika angaika yaan ata sielewagi au ananiangaliaa saaaan mpka nashangaaa this is too much
 
mim kila nikakaa na mwanamke lazima ang"ate vidole ata kama hana kucha mara anahangaika angaika yaan ata sielewagi au ananiangaliaa saaaan mpka nashangaaa this is too much
Mkuu, Kinachonishangaza Ni Hata Wale Wanawake Walio Katika Ndoa Ambao Utegemei Kma Watafanya Hivyo!! Yaani Nikikutana Nao Tuu... Lazima Wabadilike!! Uwaga Kma Wamepigwa Ganzi Hivi, Tukishapishana Ndio Wanakua Uhuru!!
 
Labda umerithi kitu ambacho hukijui sababu hukioni

mimi nilipoanza secondary nilikuwa nashangaa nateuliwa kuwa kiranja
hata kama sitaki.......baadae nikaenda kuuliza uliza home nikaambiwa
babu yangu alikuwa kiongozi kuanzia shuleni hadi ukubwani kwenye serikali

so labda nilikuwa nimerithi kitu ambacho wengine wanakiona huku mimi mwenyewe sikioni...

kuna ulimwengu wa spirits....kina Kaunga na MziziMkavu wanaweza kukuambia..

unaweza kuwa umerithi kitu ambacho watu wengine wanakiona we hukioni..uliza vizuri kwenu

kuwa handsome sio sababu...kabisa.....kuna kitu
labda 'some hidden power'
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom