Ni aibu ama inakuaje?

Ni aibu ama inakuaje?

Nadhani utakuwa na makengeza,mtu anakuona toka anatoka kulee unamwangalia umemkazia macho anadhani labda kuna sehemu vazi lake limekaa vibaya ndo mana unamwangalia sana anajisemea ngoja ajirekebishe kumbe wewe huna habari nae.
 
Napenda Kuvaa Vizuri Na Ni Mtu Ninaejipenda Na Nisiependa Kufanana Na Wengine Hata Kidogo Kuanzia Vitu Navyotumia, Ni Mtu Naependa Sana Vitu Unique.

weka picha kwanza ndio tutakupa sababu ya hayo yote.
 
labda umefanana na CCM ndo maana hawataki kukuangalia ,vaa sura ya lowassa uone.
 
Hahahaha watu mna mambo...jiangalie kwenye kioo shida itakuwa kwako..
 
Hivi vyuo vinafunguliwa lini maana kipindi hiki ni cha high season JF!!
 
Duu kwa upande wangu mimi napata shida kidogo kama yako ila tunatofautiana
Mimi nikiongea na mtu awe wa kiume au wakike huwa hawawezi kuniangalia straight machoni hata kama ni maongezi tu ya kawaida
Sijui ni tatizo gani
 
Duu kwa upande wangu mimi napata shida kidogo kama yako ila tunatofautiana
Mimi nikiongea na mtu awe wa kiume au wakike huwa hawawezi kuniangalia straight machoni hata kama ni maongezi tu ya kawaida
Sijui ni tatizo gani
Duuh!! Umenikumbusha Nina Best Yangu, Yy Analo Tatizo La Kuogopwa Na Watu Bila Sabbu!! Kiukwel Kuna Hali Zngine Si Za Kawaida!! Yy Unakuta Watu Wanamuogopa Tuu Wenywe, Bila Sabb!!
 
Back
Top Bottom