NHIF wametoa majina

NHIF wametoa majina

Ni kweli bana wadau wametoa kwenye mwananchi tu mi mwenyewe nimechemsha...Membership officers wametoa majina 29, Compliance officers wametoa 26, Assistant Accountant wametoa 21. Poleni sana waliopotezewa kama mimi..
kwa hiyo post ni 43 mkuu soma kwa makini
 
Majina yametoka kwa wale waliofaulu written interview march 24th. Majina ni mengi sana na yako kwenye gazeti la mwananchi la leo tarehe 2/5/14.
1. Quality Assurance officer III- wako 33
2. Membership Officer III- 57
3.Compliance Office III- 52
4.Assistant Accountant II- 42
5. Claims Officer III- 31
6. Pharmaceutica Services Officer III- 27
7. Planning & Investment Officer III- 13
8. Risk Officer- 5
9. Quantity Surveyor- 6
10.Systems Administrator- 13
11. Database Administrator- 7
12.Information System Auditor- 7
13. Assistant Internal Auditor III- 10
14.Personal Secretary III- 5
15. Receptionist III- 9
16. Driver III- 33
8.
 
Mkuu unaweza kusaidia kupiga picha hayo ya assistant accountanta ukaniwekea nikaona
 
Majina hayooo, kwa waliopata hongera..
 

Attachments

  • 1399099188456.jpg
    1399099188456.jpg
    79.4 KB · Views: 603
Muendelezo huo..
 

Attachments

  • 1399100017093.jpg
    1399100017093.jpg
    74.3 KB · Views: 430
jamani.samahani. mm nipo kijijini access ya gazeti hakuna naomba msaada tu hata wakuangaliziwa tu nafasi ya membership officer.jina la baraka msigwa km lipo au la.asanteni
 
hivi hawa watu mpaka leo kimya...kuna mtu ana taarifa zao atusaidie? ni bora watoe majina kama ni kupata au kukosa tujue kuliko kutuweka roho mkononi namna hii
 
Yaani hawa jamaa sijui utakuaje na wanatakaje manake kama wametufunga kamba macho na misikio yote kwao!! Mie hadi browser ya simu yangu imekariri page yao!!!
 
Back
Top Bottom