Haya sasa kwa wale tulioapply majibu yamekuja wakuu,wameweka majina ya waliowaita ktk gazeti la mwananchi la leo,ni mengi mno,wengine tumeangukia pua,kila ka kheri mlioitwa
pole sana Mkirua,MODS wamenisaidia kuirekebisha
mkui plz attach hapa
One man down...!!
Sasa mpaka sasa inaonyesha members wengi wa JF wamekosa. Embu na wengine watiririke tuone ni members wangapi wa JF home of great thinkers wamepata au kukosa. Isije ikawa hujuma hii! Hehehe! Au...?
Thanks God nimeitwa kwenye Claims officer
nimeitwa.. am so happy.. Mungu anisaidie nifanye oral vizuri nipate kazi.
Good for you kiongozi
Hongera sana dogo.; ni ile post yenye ma PHD holders zaidi ya kumi au?
One man down...!!