nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Habarini wadau,
Katika taasisi mbovu hii imepindukia kiasi cha kuhatarisha maisha ya wananchi.
Wamefuta baadhi ya makundi yaliyokuwa wanachama wao pasipokutoa taarifa yoyote kitu ambacho ni usumbufu sana kwa madai kuwa wangeanzisha huduma nyingine mubadala kuanzia tarehe 1/9/2019 lakini hawajafanya hivyo na hakuna dalili wala majibu ya kuridhisha.
Sasa kwanini wasiruhusu watu warenew kadi/uanachama wao kwa makundi ya zamani hadi watakapokuwa tayari ndiyo wafute au watajiondoa automatically wenyewe
Rais saidia hili jambo siyo taasisi zinakuwa zinajiamulia maamuzi yao tu bila kujali adhali zitakazojitokeza wananchi hawapati matibabu wakati kadi wanazo na majibu mazuri hamna
Katika taasisi mbovu hii imepindukia kiasi cha kuhatarisha maisha ya wananchi.
Wamefuta baadhi ya makundi yaliyokuwa wanachama wao pasipokutoa taarifa yoyote kitu ambacho ni usumbufu sana kwa madai kuwa wangeanzisha huduma nyingine mubadala kuanzia tarehe 1/9/2019 lakini hawajafanya hivyo na hakuna dalili wala majibu ya kuridhisha.
Sasa kwanini wasiruhusu watu warenew kadi/uanachama wao kwa makundi ya zamani hadi watakapokuwa tayari ndiyo wafute au watajiondoa automatically wenyewe
Rais saidia hili jambo siyo taasisi zinakuwa zinajiamulia maamuzi yao tu bila kujali adhali zitakazojitokeza wananchi hawapati matibabu wakati kadi wanazo na majibu mazuri hamna