NHIF chombo cha ajira za watoto wa vigogo

majina mkuu, yatatusaidia kuanza mchakato wakuwashughulikia

Kuna mmoja mtoto wa mkuu wa mkoa mmoja upo kusini na alishawahi kuwa mkuu wa wilaya Morogoro, mtoto wake yupo NHIF Eastern zone Morogoro
 
kweli kabisa kuna baadhi nawajua wako pale mmoja ni mtoto wa prof wa udsm pale,alianza kazi kimya kimya.kaazi kweli kweli
 
Kumamake,kama hali ndo hiyo,ngoja niendelee tu na kuuza mkaa wangu,japo nao unachangamoto zake kimtindo.
 
Jamani nimekua nikishangazwa na style ya ajira zinazotolewa kwa watoto wa viongozi wa nchi hii kwenye mfuko wa afya....unashangaa unamuona mtu kaanza kazi kimyakimya bila kazi kutangazwa wala usaili,..ukiuliza unaambiwa mbona huyo ni mtoto wa dr.so n so waziri au naibu waziri kwani humjui?????
Embu tulizungumzie hili wadau
umejuaje habari za nhif? wapo watoto wangapi? unajua wanapofanyia interviews ? mmmh?
 
tatizo la watanzania hufikiri ajira hushuka kama MANA toka angani somesheni watoto kwenye shule za maana (epukeni siasa za Elimu ya BURE), mfundishe mwanao kusoma tu hakutoshi kumpatia maisha mazuri bali Bidii, Heshima na UAMINIFU. Vinginevyo mtabaki kulia lia tu hapa
 
Nyie mnaobisha hayajawakuta haya au na nyinyi ni watoto wa vigogo!!nendeni PPF uko na BOT na NHIF ndo mtajua jinsi hawa watoto wa vigogo wanavyopata nafasi wanaingia kwa gia ya internship au tempo mara ghafla mnaona tayari yupo kwenye payroll alaf anapewa nafasi ya kijana wa watu aliepata kazi kihalali kijana anaambiwa tuu mkataba wako umeisha..
 
Wivu kitu kibaya sana Watanzania wenzangu. Dunia hii kijana usipochakarika mtabaki kutoa povu. Huyo kijana wa "Maskini" amefanya jitihada gani katika hiyo kazi? Au mnataka "Affirmative action"? Hakuna nguvu iliyopotea bure kwa mwenye bidii
 
Wivu kitu kibaya sana Watanzania wenzangu. Dunia hii kijana usipochakarika mtabaki kutoa povu. Huyo kijana wa "Maskini" amefanya jitihada gani katika hiyo kazi? Au mnataka "Affirmative action"? Hakuna nguvu iliyopotea bure kwa mwenye bidii
Blazaa nguvu yangu mimi imepotea bure nakuambia its a living truth sio story yakuhadithiwa!!!mimi nilipigana na interview hadi nilifanikiwa kupata ajira kwenye mashirika tajwaa ila niliyo yakuta humo na nilivyofanyiwa hadi keshoo nakuambia haya mashirika ya umma wamegawana koo flani flaniii za matajiri nchi hii au unataka nikutajie na majina ya watoto wa vigogo waliopo kazini mpaka saizi??na walianza kazi hata vyeti vyao havijatoka chuonii
 
tatizo la watanzania hufikiri ajira hushuka kama MANA toka angani somesheni watoto kwenye shule za maana (epukeni siasa za Elimu ya BURE), mfundishe mwanao kusoma tu hakutoshi kumpatia maisha mazuri bali Bidii, Heshima na UAMINIFU. Vinginevyo mtabaki kulia lia tu hapa
Shule za maana zipi?
 
Huyo mtoto wa Mramba nimemuangalia..shule ipo tena imesimama. Tujipange na shule. Ulimwengu WA Leo usipokuwa makini na choices and priorities, ni ngumu kutoboa. At the end of the day Hata watoto WA mafisadi na vigogo wana haki zote
 
Tuwekeeni majina hapa, tuupate ukweli kwa kina



Mkuu ni kweli bila kuwaanika hapa ni kazi bure



Ni kweli mkuu, mutuwekee majina ya baba na mama zao tumtumie mzee wa kuchekacheka:wink2:



weka yote yote,



muheshimiwa bila kuwa na evidence acha kuzungumza. weka majina ya hao unaowatuhumu



majina mkuu, yatatusaidia kuanza mchakato wakuwashughulikia


Ona nchi yetu ilivyo

1. FILBART SUMAYE,
2. PAMELA LOWASA,
3. ZARIA KAWAWA,
4. HERIETH LUMBANGA,
5. SALAMA MWINYI,
6. RECHAL MUGANDA,
7. SALMA MAHITA,
8. JUSTINA MUNGAI,
9. KENETH NCHIMBI,
10. BLASIA W. MKAPA,
11. VAOLETH LUHANJO,
12. LIKU KATE KAMBA,
13. THOMAS MONGELA na
14. JABIRI KIGODA.

HIYO NI TIMU YA WATOTO WA VIGOGO WALIOAJIRIWA BOT BADO KATIKA BALOZI ZETU NJE YA NCHI. NCHI YETU INAFISADIWA NANI WA KUTUOKOA WENGI WAO WAMEGHUSHI ELIMU ZAO

SASA SIJUI KWAMBA NI KUJIVUNIA VIONGOZI WETU KUTUONYESHA KUWA ELIMU NI MSINGI WA MAISHA KWA KUWAPA WATOTO WAO ELIMU BORA AU NI WANANCHI KUONA HUKO NI KUPENDELEANA KATIKA AJIRA ZENYE MASLAHI MAZURI AU NI WIVU WA WATANZANIA TU?
 
Mtoto wa kigogo ana haki ya ajira kama mtoto wa mkulima. Kama ameipata kihalali huna haja ya kulalamika. Lalamika kama amepewa kazi bila kufata taratibu na kama ameshindwa kutekeleza majukumu yake. Otherwise waacheni tu ipo siku tutakua serious kwenye HR AUDIT kama tunavyofanya Financial Audit na hapo ndio itakua mwisho wao.

I always wonder kwa nini Serikali haina Ofisi ya Ukaguzi wa Utumishi wa Umma.
Uko sawa kabisa sita ila hofu na wasiwasi wetu unakuja pale ukiangalia shirika la umma lenye wafanyakazi 200 tuu!!alaf nusu ya hao ni watoto na ndugu wa vigogoo ukiuliza huyu nani mbona analinga sana unaambiwa huyu baba ake ni mdogo wa kigogo flani..
 
Back
Top Bottom