NHIF call for Interview

NHIF call for Interview

Joined
Oct 11, 2010
Posts
12
Reaction score
4
NHIF wametoa tangazo la kuita watu kwenye Interview, liko kwenye gazeti la Mwananchi la leo(tarehe 14,Machi 2014) ukurasa wa 34, hawajatoa majina ila wameweka vigezo vyao pale na wakaandika kama una hakika ulitimiza hivyo vigezo basi unakaribishwa kwenye interview, katika kila post wameweka tarehe, muda na ukumbi wa kufanyia interview, eneo la tukio ni Tanzania Episcopal Conference Center (TEC), Kurasini.
 
Sasa bila kuweka shortlisted applicants inakuwaje tena?
yaani mtu ufike ndo urudishwe aisee, what kind of organisation is this?
 
walikuwa wavivu kuchambua barua, akili gani hiyo hivi mtu unaweza kuomba kazi ukawa hauna sifa?
 
Mimi mwenyewe nimeona nikashangaa,haiko poa sana,na vigezo walivyoweka pale ni vile vile vya kwenye application,kuwa uwe ulikidhi vigezo vya nafasi uliyoomba,uwe uliandika barua kwa mkono pia uwe uliambatanisha passport size,kazi kweli kweli.
 
Interview inaanza tarehe 24 Machi hadi tarehe 29 Machi kutegemea na post ambayo mhusika aliomba.
 
mi naona wako fair coz kila anaeomba anavigezo ishu ni mkafanye mtihan atakae faulu basi aende kwenye oral
 
mi naona wako fair coz kila anaeomba anavigezo ishu ni mkafanye mtihan atakae faulu basi aende kwenye oral
kama wakienda watu wengi tofauti na matarajio yao na wakasema tunataka watu idadi fulani tu, wengine muondoke, je bado utasema wako fair?
 
NHIF wametoa tangazo la kuita watu kwenye Interview, liko kwenye gazeti la Mwananchi la leo(tarehe 14,Machi 2014) ukurasa wa 34, hawajatoa majina ila wameweka vigezo vyao pale na wakaandika kama una hakika ulitimiza hivyo vigezo basi unakaribishwa kwenye interview, katika kila post wameweka tarehe, muda na ukumbi wa kufanyia interview, eneo la tukio ni Tanzania Episcopal Conference Center (TEC), Kurasini.

Hawa jamaa wahuni tu, zitakuwa na watu hizo
 
mi naona wako fair coz kila anaeomba anavigezo ishu ni mkafanye mtihan atakae faulu basi aende kwenye oral
Kama wataruhusu kila mtu kufanya interview hapo sawa,hofu yangu ni pale ambapo mtu atafunga safari toka mkoani kuja halafu anafika siku hiyo anaambiwa kuwa hakukidhi vigezo,hapo itakuwa tatizo.
 
Kama wameshindwa kuchambua barua na CV, will they be able to mark what the candidates are going to sit for?????
Jaman let us be serious on this, nafkiri kama kuna vyombo vya kusimamia hii taasisi nadhan the whole HR Department should be responsible...What are they paid for??????????
 
Kama wameshindwa kuchambua barua na CV, will they be able to mark what the candidates are going to sat for?????
Jaman let us be serious on this, nafkiri kama kuna vyombo vya kusimamia hii taasisi nadhan the whole HR Department should be responsible...What are they paid for??????????
tusaidiane jamani maana mimi niliishia la tano!
 
'Strong minds discuss ideas, average minds discuss events, weak minds discuss people.' Ndibalema n omujubi
 
Last edited by a moderator:
Hilo ni Tatizo kwa walio wengi na hasa wewe unayejiita Omujubi, (Uko)/wako tayari na kwa haraka sana kuona mambo madogo na ya kipumbavu yasiyo hata na mashiko ilihali mambo ya msingi huna/hawana habari nayo, that's stupidity!!!!!!and cant be corrected. Leta hoja zenye mashiko acha ushabiki wa kipumbavu!!kama umeishia std 5 hilo ni tatizo lako,it has nothing to do with us or rather me...
 
Inawezekana watu walishaanza na kazi,miezi mitatu hawakuweza kuchambua cv? Na watu wanaapply sehem nyingi,wengine wameshasahau waliapply post gan. Okay,watu wataenda, watamark kwel?for another 3 months? Its really doubtful,,
 
Back
Top Bottom