NHC: Hatujamuonea Mbowe


Kama wapo Watu wanaosema au kudhani kuwa NHC imemuonea Mbowe nadhani wanatakiwa kwenda kuziba nafasi za wale waliopo Hospitali ya Vichaa ya Milembe Mkoani Dodoma.
 
UKUTA ulikuwa umebeba mambo mengi sana niliwahi pata kusema humu ndani!!

Yaani majipu yoote yamejificha nyuma ya UKUTA!!
Lengo lao ni kutaka Magufuli asiwatumbue,asiwalipishe kodi stahiki,walitaka waendelee kula kodi zetu bila huruma..

Magufuli safisha CHADEMA....waumbue wote na madudu yao machafu wanayoyafanya kwa mwamvuli wa Upinzani
 
Huyu jamaa naona dalili zote anajiandaa kuwa rais wa Maisha wa nchi ya kufikirika, tuombe uzima kama katiba haitabadilishwa tutaona
 
Ha haa! Tanzania hatuhitaji wacheza mieleka. Hii mieleka ya kwenye siasa inatosha sana kutuburudisha... Sasa hapa Mbowe kapigwa ngwara... Ngoja asimame naye awapige Kipepsi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…