Leo mchana tumepokea shocking news kuwa aliyekuwa cadre na ccm chairperson kwa mkoa wa mwanza ndg Mabina Vicent amepijwa mawe mpaka kufa kutokana na land conflicts. (Hii taarifa ipo sitaizungumzia sana naomba nizungumzia tabia ya kujichukulia sheria mikononi in the name of nguvu ya umma/mob justice)
Kwanza nianze kwa kusema nalaani mauaji ya Mabina yaliyotekelezwa na wananchi wa kisesa mwanza, naomba niwakumbushe kuwa hakuna mtu mwenye haki ya kuhukumu mtu nje ya mfumo tuliojiwekea,ambapo hukumu hutolewa na mahakama.
Nakemea kwa sababu Mob Justice ni tabia ambayo inakuwa kwa kasi, pengine is due to weakness in Judicial System which does not work properly and people continue to organize their trial and judge their suspect on street kwa kuwaumiza au kuwauwa kama ilivyotokea leo mwanza. Hii tabia inahitaji immediate attention kuhakikisha maisha ya watu wenye/wasio na hatia hayaendelei kupotea mikononi mwa wanaojiita "wananchi wenye hasira kali"
I would like also to remind political party's leaders especially hawa wa chadema ambao at some point ni catalyst katika kuvuruga mfumo tuliojiwekea wa "utawala wa sheria" kuwa there is no one who is above the law lakini wao wamekuwa wakitembea in up countries preaching the so called "nguvu ya umma" which means "wananchi ndio wenye mamlaka ya mwisho katika taifa" but its very unfortunately kwa kutokusudia,au kwa kukusudia watu kwanzia level za chini hawaambiliki, wanagoma, wamefundishwa na chadema kuwa police hawafanyi kazi kwa ajili ya wananchi wote bali ni "PoLice CCM" refer Dr slaa na baadhi ya makada wa chadema". Dhana ya nguvu ya umma imekuwa mob justice ndio maana hata hapa JF, mashabiki na makada wa chadema wamefurahishwa na mauaji ya ndugu Mabina.
Naendelea kulaani, watu, vikundi ambavyo badala ya kupinga tabia ya wananchi kujichukulia sheria mikononi wanaunga mkono na kuiita hiyo ndiyo nguvu ya umma.
Wito wangu kwa jeshi la police ni kufanya kazi kwa umakini bila upendeleo, na ihakikishe watu wote waliohusika katika tukio la leo wanakamatwa na wanapelekwa mbele ya vyombo vya sheria.
Mob justice ni jambo la hatari,linashababisha vurugu,mauaji linahitaji ufumbuzi wa haraka sana.
Sixgates
Dsm
mbona sijakusikia ukilaani wahusika waliorusha bomu liloua watu mkutano wa CDM arusha
??
sixgates,
Nakubaliana na wewe kuwa kitendo cha kujichukulia sheria kwa kinachotafsiriwa kama "wananchi wenye hasira kali" si kuwa ni kinyume cha utawala wa sheria bali pia kinakiuka misingi ya utu.
Lakini kuna swali la msingi la kujiuliza kwa mpenda haki yeyote, nini kimepelekea wananchi kujichukulia hatua mkononi?
Leo mchana tumepokea shocking news kuwa aliyekuwa cadre na ccm chairperson kwa mkoa wa mwanza ndg Mabina Vicent amepijwa mawe mpaka kufa kutokana na land conflicts. (Hii taarifa ipo sitaizungumzia sana naomba nizungumzia tabia ya kujichukulia sheria mikononi in the name of nguvu ya umma/mob justice)
Kwanza nianze kwa kusema nalaani mauaji ya Mabina yaliyotekelezwa na wananchi wa kisesa mwanza, naomba niwakumbushe kuwa hakuna mtu mwenye haki ya kuhukumu mtu nje ya mfumo tuliojiwekea,ambapo hukumu hutolewa na mahakama.
Nakemea kwa sababu Mob Justice ni tabia ambayo inakuwa kwa kasi, pengine is due to weakness in Judicial System which does not work properly and people continue to organize their trial and judge their suspect on street kwa kuwaumiza au kuwauwa kama ilivyotokea leo mwanza. Hii tabia inahitaji immediate attention kuhakikisha maisha ya watu wenye/wasio na hatia hayaendelei kupotea mikononi mwa wanaojiita "wananchi wenye hasira kali"
I would like also to remind political party's leaders especially hawa wa chadema ambao at some point ni catalyst katika kuvuruga mfumo tuliojiwekea wa "utawala wa sheria" kuwa there is no one who is above the law lakini wao wamekuwa wakitembea in up countries preaching the so called "nguvu ya umma" which means "wananchi ndio wenye mamlaka ya mwisho katika taifa" but its very unfortunately kwa kutokusudia,au kwa kukusudia watu kwanzia level za chini hawaambiliki, wanagoma, wamefundishwa na chadema kuwa police hawafanyi kazi kwa ajili ya wananchi wote bali ni "PoLice CCM" refer Dr slaa na baadhi ya makada wa chadema". Dhana ya nguvu ya umma imekuwa mob justice ndio maana hata hapa JF, mashabiki na makada wa chadema wamefurahishwa na mauaji ya ndugu Mabina.
Naendelea kulaani, watu, vikundi ambavyo badala ya kupinga tabia ya wananchi kujichukulia sheria mikononi wanaunga mkono na kuiita hiyo ndiyo nguvu ya umma.
Wito wangu kwa jeshi la police ni kufanya kazi kwa umakini bila upendeleo, na ihakikishe watu wote waliohusika katika tukio la leo wanakamatwa na wanapelekwa mbele ya vyombo vya sheria.
Mob justice ni jambo la hatari,linashababisha vurugu,mauaji linahitaji ufumbuzi wa haraka sana.
Sixgates
Dsm
You are dreaming, Usipoitaja Chadema haupati usingizi.
Wananchi wamechoka na polisi ccm.
Mkuu yalizungumzwa na wengine, na niliona hapa wakilaani, kurudia ni kujaza server tu. Ndio maana nyuzi zinazofanana huunganishwa. Ila hata wewe unaweza ukaanzisha thread ya kulaani bomu la arusha, leo laana yangu ni kwa ajili ya wananchi wa kisesa
Leo mchana tumepokea shocking news kuwa aliyekuwa cadre na ccm chairperson kwa mkoa wa mwanza ndg Mabina Vicent amepijwa mawe mpaka kufa kutokana na land conflicts. (Hii taarifa ipo sitaizungumzia sana naomba nizungumzia tabia ya kujichukulia sheria mikononi in the name of nguvu ya umma/mob justice)
Kwanza nianze kwa kusema nalaani mauaji ya Mabina yaliyotekelezwa na wananchi wa kisesa mwanza, naomba niwakumbushe kuwa hakuna mtu mwenye haki ya kuhukumu mtu nje ya mfumo tuliojiwekea,ambapo hukumu hutolewa na mahakama.
Nakemea kwa sababu Mob Justice ni tabia ambayo inakuwa kwa kasi, pengine is due to weakness in Judicial System which does not work properly and people continue to organize their trial and judge their suspect on street kwa kuwaumiza au kuwauwa kama ilivyotokea leo mwanza. Hii tabia inahitaji immediate attention kuhakikisha maisha ya watu wenye/wasio na hatia hayaendelei kupotea mikononi mwa wanaojiita "wananchi wenye hasira kali"
I would like also to remind political party's leaders especially hawa wa chadema ambao at some point ni catalyst katika kuvuruga mfumo tuliojiwekea wa "utawala wa sheria" kuwa there is no one who is above the law lakini wao wamekuwa wakitembea in up countries preaching the so called "nguvu ya umma" which means "wananchi ndio wenye mamlaka ya mwisho katika taifa" but its very unfortunately kwa kutokusudia,au kwa kukusudia watu kwanzia level za chini hawaambiliki, wanagoma, wamefundishwa na chadema kuwa police hawafanyi kazi kwa ajili ya wananchi wote bali ni "PoLice CCM" refer Dr slaa na baadhi ya makada wa chadema". Dhana ya nguvu ya umma imekuwa mob justice ndio maana hata hapa JF, mashabiki na makada wa chadema wamefurahishwa na mauaji ya ndugu Mabina.
Naendelea kulaani, watu, vikundi ambavyo badala ya kupinga tabia ya wananchi kujichukulia sheria mikononi wanaunga mkono na kuiita hiyo ndiyo nguvu ya umma.
Wito wangu kwa jeshi la police ni kufanya kazi kwa umakini bila upendeleo, na ihakikishe watu wote waliohusika katika tukio la leo wanakamatwa na wanapelekwa mbele ya vyombo vya sheria.
Mob justice ni jambo la hatari,linashababisha vurugu,mauaji linahitaji ufumbuzi wa haraka sana.
Sixgates
Dsm
Dokt slaa alisema "hii nchi haitatawalika tena" sasahivi anapita mikoani kuhubiri nguvu ya umma na kusema police ni wa ccm na wananchi wanamsikia sumu zake haya ndio matokeo yake.