Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,242
Maandamano Kenya: Maandamano ya kupinga kupanda bei za chakula http://bbc.in/hayVEQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano Kenya: Maandamano ya kupinga kupanda bei za chakula http://bbc.in/hayVEQ
Hii issue ni global babu!....hata mamtoni vyakula bei juu,au unataka kuandamana kutaka misaada?Huku kwetu tunanung'unikia chini chini tu,hakuna harakati zozote zinazochukuliwa nasi kupambana na hali hii,kama mabwege vile.....
Hii issue ni global babu!....hata mamtoni vyakula bei juu,au unataka kuandamana kutaka misaada?
Hii issue ni global babu!....hata mamtoni vyakula bei juu,au unataka kuandamana kutaka misaada?
Anasema ukweli. Word Food Program walishaonya hili na ndio matokeo hasa ya yale ya kule North Africa na Middle East. Europe (wanakotumia euro) inflation sasa hivi ni above 2% ambayo huwa ni target inakaribia 2.8% wanafikiria kuraise interest rates kuease pressure ya inflation lakini inamaana kwa risk ya uchumi kuporomoka tena. Uingereza ni 4% nao huenda wakaraise interest rate next months lakini wanarisk uchumi wao ndani ya spending cut. China licha ya jitihada za kuongeza interest rate mara nne mfululizo bado inflation ni 5.8%. Brasil pia na sehem nyingine ni hivyo. Hii ni global kama alivyosema mchangiaji hapo juu.Please stop such kind of sweeping statements!!! Mamtoni gani unayoizungumzia wewe? Usitetee ujinga Bwana!!!!
Tiba
Anasema ukweli. Word Food Program walishaonya hili na ndio matokeo hasa ya yale ya kule North Africa na Middle East. Europe (wanakotumia euro) inflation sasa hivi ni above 2% ambayo huwa ni target inakaribia 2.8% wanafikiria kuraise interest rates kuease pressure ya inflation lakini inamaana kwa risk ya uchumi kuporomoka tena. Uingereza ni 4% nao huenda wakaraise interest rate next months lakini wanarisk uchumi wao ndani ya spending cut. China licha ya jitihada za kuongeza interest rate mara nne mfululizo bado inflation ni 5.8%. Brasil pia na sehem nyingine ni hivyo. Hii ni global kama alivyosema mchangiaji hapo juu.
Bunge linajadili kwa jazba kupanda kwa gharama za maisha kenya.kbc live.
Hivi nyie mnasoma habari za dunia?....au at least mna information zozote za kimataifa?....Au ni mashabiki tu? MNATIA AIBU!
True! and i'm sorry if I sounded harsh,ila watu wengine wanapinga vitu ambavyo viko very obvious!
Hivi nyie mnasoma habari za dunia?....au at least mna information zozote za kimataifa?....Au ni mashabiki tu? MNATIA AIBU!