Nguvu ya uma yashusha bei za bidhaa kenya!!!

Kwetu watz wengi ni kama "kobello" tu!!
Kinachonichekeshaga bongo yangu hii hata akitokea mtu wa kutuamsha, tunamuona mkorofi sananu watakuja wakina "kobello" kujenga "hoja" za kuwa hata "mamtoni" hali ni hivyo hivyo.....
Na watu kama wakina "kobello" ndio wafanya maamuzi...
Kuna nini hapo???

Nakubaliana nawe mkuu.Hata chadema walipotaka kuwasaidia watz ktkt hili baadhi ya viongozi wa dini walisema hizo ni njama za kuiondoa serikali madarakani kwasababu rais ni muumini wao hivyo chadema wakiandamana nao wataandamana kuipanga chadema.Ona hali inazidi kuwa ngumu kwa wote bila kuchagua walio dini moja na rais.
 
Nakubaliana nawe mkuu.Hata chadema walipotaka kuwasaidia watz ktkt hili baadhi ya viongozi wa dini walisema hizo ni njama za kuiondoa serikali madarakani kwasababu rais ni muumini wao hivyo chadema wakiandamana nao wataandamana kuipanga chadema.Ona hali inazidi kuwa ngumu kwa wote bila kuchagua walio dini moja na rais.
Hao CDM wangesaidiaje?..au walisaidiaje?
 
Hii issue ni global babu!....hata mamtoni vyakula bei juu,au unataka kuandamana kutaka misaada?
Una uhakika na unachokisema? ukali wa maisha ulipo Tanzania siyo sawa na ule wanaoupata sehemu zingine za ulimwengu maana kwa tanzania ukalio huo unachochewa na matumizi mabaya (ufisadi uliokithiri) ya rasilimali za umma. Ukimya wa Watanzania ndo unaopelekea mafisadi kujiona wao ndo miungu watu. Amkeni mliolala au ndo ule usemi kuwa "UKIMWAMSHA ALIYELALA .......... WEWE?"
 
kobello mbona watu wamelalamika sukari sasa ni sh 1500 kwa kilo toka sh 2000 kabla ya maandamano ya chadema?serikali iache kutegemea kodi za mafuta,bia,sigara watafute vyanzo vingine vya mapato!mfano maliasili hasa wanyama porini juzi arusha duma wa 3 wamekamatwa wakiwa njiani kwenda kenya kuuzwa!hivi dhahabu,tanzanite yote tunapata nini?pia kuna suala la kupanda sana kwa kodi za nyumba!fremu ya biashara kkoo sasa sh 2m per month!serikali inaweza kupanga viwango vya kodi za pango hii itasaidia kupunguza gharama za maisha
 
kobello mbona watu wamelalamika sukari sasa ni sh 1500 kwa kilo toka sh 2000 kabla ya maandamano ya chadema?serikali iache kutegemea kodi za mafuta,bia,sigara watafute vyanzo vingine vya mapato!mfano maliasili hasa wanyama porini juzi arusha duma wa 3 wamekamatwa wakiwa njiani kwenda kenya kuuzwa!hivi dhahabu,tanzanite yote tunapata nini?pia kuna suala la kupanda sana kwa kodi za nyumba!fremu ya biashara kkoo sasa sh 2m per month!serikali inaweza kupanga viwango vya kodi za pango hii itasaidia kupunguza gharama za maisha
Serikali ni mimi na wewe,kama hao duma wamekamatwa sasa unalalamika nini?Kwani si nyie CDM ndio mlikuwa ma champion wa privatisation?Kwanini wabunge wenu hawakuipinga Mining act ilipowasilishwa bungeni?Na kuhusu kariakoo,kwani lazima uwe na duka kariakoo?10% ya watanzania wako dar,it's getting overpopulated so demand ya real estate sehemu kama hiyo itakua kubwa tu mkuu!
Kuhusu sukari inabidi uangalie bei ya sukari duniani,na jinsi inasvyopangwa na watu binafsi,miwa ina substitute mafuta,mafuriko ya Brazil nk. na bei ya sukari imeshuka duniani mwezi machi na april.Hebu kula nodo hapo chini;
black.jpg




adlog.php



fall for first time in eight months
bushmeat-market-africa-lg.jpg

by Staff Writers
Rome (AFP) April 7, 2011
World food prices fell for the first time in eight months in March after record highs largely due to oil prices, though the situation remains volatile, the UN's food agency said on Thursday.
The Food and Agriculture Organisation's Food Price Index dropped to an average 230 points in March, down 2.9 percent from its peak in February, but still 37 percent above March 2010, the Rome-based agency said.
"The decrease in the overall index this month brings some welcome respite," said David Hallam, director of the FAO's trade and market division.
"But it would be premature to conclude that this is a reversal of the upward trend," he added.
The FAO index, which monitors average monthly prices for key staples, showed international prices for oils, sugar and cereals in particular had dropped.
Rice prices also fell, largely as a result of abundant supply in exporting countries and sluggish import demand. By contrast, dairy and meat prices rose.
"The biggest story is the oil sector, that's the driver behind the decline in prices," said Abdolreza, FAO economist and grains analyst.
"The drop was driven by sell-offs in the market, but didn't last," he said.
"We saw a decline only in the first two weeks of March. In the second half of the month prices rebounded. Most of the price increase is not captured in this index but is likely to be reflected in the next one," he said.
March was also extremely volatile for grains, largely due to growing economic uncertainties and the turmoil in North Africa and parts of the Near East as well as the Japanese earthquake and tsunami, the FAO said.
"We need to see the information on new plantings over the next few weeks to get an idea of future production levels," Hallam said.
"But low stock levels, the implications for oil prices of events in the Middle East and North Africa and... Japan all make for continuing uncertainty and price volatility over the coming months," he said.
The oil and fats price index fell 19 points in March, breaking nine months of consecutive increases, while the sugar price index averaged 372 points -- down as much as 10 percent from the highs of January and February.
The dairy price index averaged 234 points, up 1.9 percent from the previous month and 37 percent above its level in March 2010, while the meat price index changed little from its February levels at an average of 169 points.
"As we have said before, this crisis will be volatile. The prices are still at very high levels. It all depends on the 2011 harvest. The market is not going to ignore uncertainty for at least the next six months," Abbassian said.
World food prices hit record highs at the beginning of the year and the agency had warned in March that oil price spikes could push them even higher as increasing violence in Libya sent jitters through commodity markets.
"With many poor communities already feeling the effects of higher food prices and the main food exporting countries at dangerously low levels, sighs of relief in response to today's announcement by the FAO would be premature," Oxfam's policy advisor Luca Chinotti said in a statement.
"Food remains far too expensive for many poor people," he said.
 
kobello tunajua unatetea ka mrija kako ka maisha kwa sasa,lakini si muda katakatika!utarudi mtaani halafu useme ni suala la dunia!
 
Mimi nipo mtaani kaka,naishi temeke mwisho mtaa wa kitomondo,we kula nondo hizo halafu nawewe uniletee nondo zinzosapoti mada yako.Don't get personal!,siupendi uongozi uliopo kwenye chama changu.
 
kobello-swali kama kenya wameweza kupunguza ushuru wa mafuta sisi tunashindwaje?kati ya tanzania na kenya ni wapi penye rasilimali za kuweza kuijaza hiyo deficit?
 
kobello-swali kama kenya wameweza kupunguza ushuru wa mafuta sisi tunashindwaje?kati ya tanzania na kenya ni wapi penye rasilimali za kuweza kuijaza hiyo deficit?
Kenya wana income kubwa kuliko tanzania na wana mapato makubwa ya kodi kuliko tanzania....
Kenya inatoza asilimia 18% ya mapato yote nchini kwao kama kodi,
Tanzania inatoza wastani wa 12% ya mapato yote(GDP) ya nchini.
Hivyo basi,ni rahisi kwa nchi kama kenya kupunguza kodi ya vitu kama mafuta.Na mapato yao ya fedha za kigeni ni makubwa zaidi yetu.
Soma kaka!!! utaelewa mengi.
 
Gavana wetu wa Benki ku anasema kama sarafu yetu inapoteza thamani inatusaidia kwa kuwa wale wanaouza bidhaa njee wanapata mapato zaidi; swali langu kwa huyu bwana ni kwamba kiasi gani ambacho nchi yetu inasafirisha kuuza nje ya nchi hata ukasema watu wanafaidika na thamani ya sarafu yetu ikishuka tutafaidika? Nchi yeyu inategemea kwa kiwango kikubwa imports kutoka nchi za nje kwa hiyo depreciation ya currency yetu haina faida kwetu bali hasara ya imported inflation especially now when we do a lot of trading with high inflation countries like China! Huyu Gavana nadhani atatupeleka kule kule alikotupeleka Balali , the sooner he is off-loaded the better for the country; Kikwete haya ni maamuzi magumu mengine inabidi kuya fanya before it is too late!
 
Hivi nyie mnasoma habari za dunia?....au at least mna information zozote za kimataifa?....Au ni mashabiki tu? MNATIA AIBU!

wewe utakuwa umetumwa na msekwa, kuwazubaisha watu waiandamane. Teh teh teh wewe hujui dokta wa ukweli alitoa siku 9 kuhakikisha ukali wa maisha unaisha.Kwi kwi kwi kwi
 
Wenzetu hawataki mchezo, wao mambo kwa vitendo wanajua wakiwachekea viongozi nao wanarespond kwa kuwachekea!
 
By MWAURA KIMANI
THE EAST AFRICAN
Posted Monday, April 25 2011 at 00:00
Kenya is facing a storm over surging inflation and runaway food prices that have sparked protests in the country.

Indeed, last week the government said it had slashed taxes on petroleum products. Finance Minister Uhuru Kenyatta announced a 20 per cent cut in excise tax on diesel and 30 per cent cut on kerosene. (What about you Mkullo! Tanzanians need tax reduction in order to cope up with high inflation)

The tax cuts were however dismissed by trade unionists and consumer organisations as a joke and being too little to be felt by households.
As of last week, pump prices had not been adjusted to reflect the new lower prices with Ministry of Energy officials saying they were awaiting action by the Kenya Revenue Authority which would give the effective date.

The Consumer Federation of Kenya said food prices had risen by at least 25 per cent in the past three months.

Despite the tax cuts on petroleum products, protests kicked off last week in Kenya’s major towns, a signal the ordinary sacrifices that consumers have been forced to make since late 2010 have started translating into political discontent.

Protests over soaring prices have been witnessed in Uganda and Burkina Faso and political analysts were expecting dissent to sweep the entire East African region, sending shockwaves to the ruling class who have seen upheavals topple governments in North Africa.

Governments globally have been taking measures to address soaring food and fuel prices as well as unemployment by changing taxation regimes, introducing price controls and taking in more imports to boost supplies.
Kenya, for example, introduced price caps on fuel prices in December 2010 after complains that retailers were exploiting them.

Uganda and Kenya have been particularly hard hit by inflation since the onset of the global financial crisis, a situation that has been made worse by the weakening of local currencies against the dollar and other hard currencies.

A slew of problems face EAC households but none is as pressing as high food and fuel prices, which have hit millions of poor people.

MPs accused the Energy Regulatory Commission (ERC), the body charged with regulating the energy sector and state-owned oil marketer the National Oil Corporation of failing to perform their roles effectively.

NOCK was blamed for high fuel prices in the country after it failed to deliver a consignment on time in March, increasing delivery costs after international oil prices rose while the ERC has been faulted for instituting price controls that have not had a positive impact on the lives of Kenyans.

NOCK managing director Summaya Athmani said the firm was seeking contracts with oil producing nations to cushion rising prices.

We have been engaged in discussions with producing countries to get what we call government-to-government contracts,” said Ms Athmani adding the company was looking to increase alternative sources of fuel including biodiesel from Brazil.


Double-digit rates
Inflation in Kenya and Uganda rebounded with a vengeance in March, edging near the double-digit mark on the back of high food and fuel prices.

The Kenya National Bureau of Statistics said inflation climbed to 9.19 per cent in March — the highest since the new method of calculating price changes was introduced in November 2009 — and 2.65 percentage points higher than February’s rate of 6.64 per cent.

Meanwhile, Uganda’s year-on-year inflation rate jumped to double digits in March, driven by rising food costs.

Tanzania’s consumer price inflation rose for the fifth consecutive month in March, the National Bureau of Statistics said on Friday.
Year-on-year inflation rate rose to eight per cent in March from 7.5 per cent in February, lifted by higher food and fuel prices.

Rwanda’s All Urban consumer price index rose for the fifth straight month to 4.11 percent year-on-year in March, the National Institute of Statistics of Rwanda said.
 
Wana jf, serikali ya kenya imelazimika kushusha bei za bidhaa pamoja na mafuta. Sisi tufanyeje wanajamvi, petrol iko juu na kila kitu. Karibuni tujadili
 
Raila leo amepambana na wabunge kuhusu kufutilia mbali kodi kwenye bidhaa muhimu kama mafuta yote, unga na kufuta karo kwa wanafunzi wanaotoka sehemu zilizokumbwa na ukame.
Source: habari ya jioni hii ya BBC

Mytake: Serikali ya kenya sasa inawatumikia wakenya na si matumbo ya viongozi wa serikali. Wamefanya hivyo kurespond to maandamano ya watu.
JK anayazibia masikio haya maandamano ya CDM lakini bado atanyosha mikono tu. Chadema Go go go go go..........
 
Leo mchana nimesikia kwenye taarifa ya habari ya radio times fm kuwa kenya wameshusha kodi ya bidhaa za nafaka(mahindi,mchele etc), kupunguza kodi ya mafuta ya kuendeshea mitambo na kufuta kodi ya shule za sekondari. Hili tangazo limetolewa na waziri mkuu mhe raila odinga ndani ya bunge la kenya. Sisi tanzania kwa usanii wetu uliokubuhu, raisi analazimisha bei za bnidhaa zishuke kwenye mikutano ya hadhara. Mfanyabiashara gani atashusha? Wenzetu wako serious na shida za wananchi. Maandamano kidogo tu ya juzi kenya yamelipa at least.
 
Kibaki ni kiboko yule Economist asiyecheka hata siku moja, hata Tanzania yooote ameshainunua, viwanda, media, banks, na secta nyingi tu, na hili amelifanya tangu aingie madarakani mwaka 2002, kwa uvivu wetu wa kisemana tu, na Kenya itununue yote.
Tanzania ni Mkoa wa Kenya pendeni msipende.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom