Nguvu ya mwanamke

Nimefarijika kuona mwanamke akiwaasa wanawake wenzie kama hivyo. Ila huyu jamaa hakufanya kitu cha maana ingawa kesha kwenda ila yaonekana tayari alikuwa kaivuka hatua ya Msongo wa mawazo mpaka kwenye Sonona
 
atoto nataka kujua huyo mama baada ya kupata taarifa za kifo cha mumewe alikuwa kwenye hali gani.
 
Sasa hivi amekosa mume, atakosa na pesa..atalea watoto mwenyewe na amebaki kuwa single mother.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hizi ni stress au nini ndugu!!!
 

Dah yaani siku nikiona mwanamke wangu kaandika haya maneno na akayaishi hakika nitaamini mimi ni Mwanaume niliyebarikiwa kuliko wanaume wote hapa duniani.

Duh kumbe wewe huwa unajitoaga tu ufahamu ila una akili, hekima na busara hivi.
 
Its true.
Nimeongea kinachoongelewa haswa na marafiki wa mwanamke, ila sina uhakika, ila kwakuwa ni jirani na matusi nilikuwa nikiyasikia maana akianza kutukana majirani wote mtasikia, ila hayo mengine sina uhakika nayo.

Sema pia jambo likishatokea kila mtu huongea lake, cha msingi ni kukumbushana kuchunga midomo yetu na namna bora ya kulea familia zetu.
 
Labda kuwasaidia wanaume mmeumbwa na silaha moja ya uwezo wa kudharau mambo ukijifanya kusikiliza kila kitu lazima ufe,kamuulize baba au babu yako
Mie sio mwanaume mpendwa.
 
Huyo mwanamke anawakilisha wanawake kama atoto miss chagga ambao wanaweza kukutoa roho kwa pesa! Ukitaks kujua makucha yao ufilisike.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwakweli lazima uzisome namba hadi za kirumi.
 
Ni kweli ila watu wanatofautiana ndugu yangu.
 
atoto nataka kujua huyo mama baada ya kupata taarifa za kifo cha mumewe alikuwa kwenye hali gani.
Its obvious, alikuwa akilia saaana na polisi walimchukua kwa mahojiano, bado sijajua nini kiliendelea.
 
Dah yaani siku nikiona mwanamke wangu kaandika haya maneno na akayaishi hakika nitaamini mimi ni Mwanaume niliyebarikiwa kuliko wanaume wote hapa duniani.

Duh kumbe wewe huwa unajitoaga tu ufahamu ila una akili, hekima na busara hivi.
Eti najitoaga ufahamu, Heaven Sent mbona hujawahi niambia hili??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…