Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

Kuna raia ni zaidi ya wastaarabu,wanaomba msamaha hata ambapo hawajaKoSea wao ili mradi tu mambo yaiShe na kuwa katika hali ya kawaida...
 
Ivi mfn limetokea tatizo kdg ,tatizo la kikawaida tu ktk kupishana kauli,mwanamke akakasirika na akataka muachane,how will u react na utaichukulia vp io situation
Huyo ana option mbadala so kulichukulia hilo kikakamavu ni kukubali awe mshindi tu maana huna jeuri ya kumuacha!

Nakuhakikishia kabla hujamaliza kuhuzunika mkiachana atakuringishia selfie alizopiga na kidume mwengine kwenye dp ya whatsapp au facebook!
 
Huyo ana option mbadala so kulichukulia hilo kikakamavu ni kukubali awe mshindi tu maana huna jeuri ya kumuacha!

Nakuhakikishia kabla hujamaliza kuhuzunika mkiachana atakuringishia selfie za kidume mwengine kwenye dp ya whatsapp au facebook!
Mwanaume awe mshindi yaan?yani akubal kushindwa
 
Mwanaume awe mshindi yaan?yani akubal kushindwa
Mwanamke kukuringia ni dalili kwamba huna ujanja kwake, ana fursa tayari so hata mkitemana leo kesho ana mtu mpya hivyo kilio kitakuwa ++ kwa upande wa kidume ataeachwa!

Hapo kidume hana ujanja itabidi awe mpole tu labda kama hajakupenda.
 
Mwanamke kukuringia ni dalili kwamba huna ujanja kwake, ana fursa tayari so hata mkitemana leo kesho ana mtu mpya hivyo kilio kitakuwa ++ kwa upande wa kidume ataeachwa!

Hapo kidume hana ujanja itabidi awe mpole tu labda kama hajakupenda.
Hahaha nmependa maelezo yako
 
Hawa viongozi wetu hujiona ni Miungu watu. Ukiondoa Baba wa Taifa na Mwinyi wengine wote madudu kibao lakini hawakuwahi kutamka kama wamekosea au kujiuzulu. Baba wa Taifa naye sijui kama aliwahi kuomba samahani akiwa bado madarakani. Angalia huyu mkolomije madudu kibao lakini anaswaga tu.

Wako wazazi ambao hao pia hukosea kwani si Miungu. Hivyo baadhi huomba samahani.

Mfano mzuri ni kama viongozi wetu wakubwa, kuanzia kwenye familia mpaka kwenye nchi... Sijawahi kumuona mzazi akimuomba msamaha mtoto wake... Wewe unalizungumziaje?
 
Huyo ana option mbadala so kulichukulia hilo kikakamavu ni kukubali awe mshindi tu maana huna jeuri ya kumuacha!

Nakuhakikishia kabla hujamaliza kuhuzunika mkiachana atakuringishia selfie alizopiga na kidume mwengine kwenye dp ya whatsapp au facebook!
Mara nyingi anaefanya hivi huishia kuwa looser...
 
Kuomba msamaha kwa mwanaume ni dalili nzuri ya kuwa mdhaifu. Ingia kwenye ndoa halafu kila siku uombe msamaha kila siku, matokeo yake utakuja kuniambia.
 
Kuomba msamaha si ishara ya udhaifu. Ila kuomba msaha mara kwa mara hata kwa mambo mdogo madogo huo ni udhaifu.. ndio hapo mwanamke anaanza kukupanda kichwani maana utamuomba tu msamaha.
 
Binafsi ninapokosea watoto wangu huwaomba msamaha naweza kusema" nisamehe mwanangu mama kakosea, nilikuwa na hasira, ila nitajitahidi lisitokee tena, sawa? " baadaye lazima tukubaliane kwa mfano naweza mwambia " na wewe nataka uwe mtoto mzuri usifanye tena. ...."
Hapa tutofautishe kokosea watoto na kuadhibu au kurekebisha. Kwani unapofundisha, rekebisha, kumgombeza mtoto humkosei ni wajibu wako.
 
hata bosi simwombi... sasa kama nishajua nimekosea yanini kuombana msamaha mi nishajua nimekosea nyie kausheni muone nitarudia au vp..!!!
Hahahah kwahiyo ukiyatimbuga watu wakukaushie?? Sasa watajuaje kama unajua umekosea?? Lazima uombe msamaha ili wajue kwamba umetambua makosa yako
 
Hahahah kwahiyo ukiyatimbuga watu wakukaushie?? Sasa watajuaje kama unajua umekosea?? Lazima uombe msamaha ili wajue kwamba umetambua makosa yako
unajua mara nyingi mtu akikosea huwa anajua kakosea.. na aliyekosewa huwa anajua kakosewa sasa njia nzuri ni kusubiri mkosaji arudie tena ndo utajua ana makusudi ila kama hatafanya ujue kaomba msamaha kimya kimya.. sio mpaka tuambiane samahani..!!!!
 
Back
Top Bottom