STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Hiyo familia ina amani kweli ??Mi ni mwepesi kuomba msamaha ila huyo bibie kusema samahani ni mpaka nikakate rb labda!
Hiyo familia ina amani kweli ??Mi ni mwepesi kuomba msamaha ila huyo bibie kusema samahani ni mpaka nikakate rb labda!
Ntakuazimaje sasaBibie naomba uniazime hizu busara zako, manake upo vizuri sana
Katika mapenzi tatizo ukimuomba msamaha anadhani labda unataka mrudiane.. Kumbe ni vitu viwili tofautiwatu siku izi wana Ego sana, unaeza omba msamaha af ukakataliwa, unabaki kufa kivyako.... wadada Mungu anawaona
Ulishawahi kumuomba msamaha mtu uliyemzidi umri?Waungwana tu na wenye busara ndio huomba msamaha..
Na unapoomba msamaha haimaanishi wewe ni dhaifu hata kidogo, kwanza unapata amani ya moyo na kingine unakuwa umeimarisha mahusiano yako na uliyemkosea...
Hata kama mtu huna malengo haina maana ukimkosea ndo upotezee, hapana!!, ishi kwa amani na watu wote, hamna anaeijua kesho...
Kwangu mie msamaha huwa ni mwepesi sana kuomba!!!!
nakuja kukitegesha kichwa changu kisha wewe unanigaiaNtakuazimaje sasa
NdioUlishawahi kumuomba msamaha mtu uliyemzidi umri?
nakuja kukitegesha kichwa changu kisha wewe unanigaia

We fanya utani utani tu unaonwa hapo ,unataka uloyasema yote leo yawe in reality

we jitoe akiliKwa mstaarabu na muungwana yeyote yule anapojua amekosea basi hatasita kuomba samahani kwa kosa lake, lakini wale washenzi washenzi huwa hawajui/ hawataki kufanya hivyo.
Hahaha.. Kumbe tunaonekana? Nifungulie mlango nije pm fastaaaaWe fanya utani utani tu unaonwa hapo ,unataka uloyasema yote leo yawe in reality
we jitoe akili
Ivi ww hukomi eeeHahaha.. Kumbe tunaonekana? Nifungulie mlango nije pm fastaaaa

pm locked,shauri yako,ukijakulalamika hapa tena mie sikutetei
ntakucheka
Unaweza kumuomba msamaha boss wako mbele ya wafanyakazi wenzako?Hapana hiyo ni dalili ya mtu kuwa na akili timamu.
Dah kweli mkuu, hapo umenenaila kutoomba msamaha pia ni udhaifu,..
Najua wapo wakuniacha niangamie, lakini sio wewe... Ninauhakika utanitetea huku umenibeba juu juu....Ivi ww hukomi eeepm locked,shauri yako,ukijakulalamika hapa tena mie sikutetei
ntakucheka
![]()
Ndio bila shaka yoyote pale ninapogundua makosa yangu basi huwa sinaga sababu ya kujifanya kichwa ngumu.Unaweza kumuomba msamaha boss wako mbele ya wafanyakazi wenzako?
Hapo umemuongelea mke, vipi watu wengine? Nao huwezi kuwaomba msamaha, mfano boss wako, mdogo wako n.khata siku moja simuombi msamaha mke wangu... nitajirekebisha mwenyewe kimya kimya... ila neno samahani asahau... akideka sana.. kwaooooooo!!!!!!!!
hata bosi simwombi... sasa kama nishajua nimekosea yanini kuombana msamaha mi nishajua nimekosea nyie kausheni muone nitarudia au vp..!!!Hapo umemuongelea mke, vipi watu wengine? Nao huwezi kuwaomba msamaha, mfano boss wako, mdogo wako n.k
Huwa nasamehe tu hata bila mtu kuniomba msamaha. Sema inaweza ikaharibu mahusiano kati yetu completelyDah, Sas ni kosa gani mtu akikufanyia unahisi itakuwa ngumu kusamehe?
Ivi mfn limetokea tatizo kdg ,tatizo la kikawaida tu ktk kupishana kauli,mwanamke akakasirika na akataka muachane,how will u react na utaichukulia vp io situationNajua wapo wakuniacha niangamie, lakini sio wewe... Ninauhakika utanitetea huku umenibeba juu juu....