mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Mkaa (charcoal) ni moja ya tiba isiyotiliwa maanani lakini inathamani katika kuleta uzima na kuuboresha.
kazi ya mwili sio kupokea sumu bali chakula. Lakini kwa bahati mbaya kwa dunia ya sasa vyakula vingi na vinywaji lukuki vinaambatana na sumu hata kama ni viwango vya chini lkn madhara ya muda mrefu ni hakika.
Mkaa unasifa ya pekee. haufyonzi(absorb) sumu au kemikali hatarishi bali unazikamata(adsorb) na kutoka nazo nje kwa njia ya haja kubwa.
jinsi ya kufanya:
saga mkaa weka kwenye glass kiasi cha robo changanya na maji kujaza sehemu iliyobaki kisha kunywa hata mara mbili kwa siku. sio lazima kila siku ila kwa kipindi kifupi tu.
kama ambavyo mkaa hutumika kunyonya dhahabu migodini, utanyonya na kuondoa kemikali hasa heavy metals na kuziondoa. Hapo utakuwa umejiepusha na safari za matibabu india miaka yako ijayo bila gharama.
nimejifunza mahala...
kazi ya mwili sio kupokea sumu bali chakula. Lakini kwa bahati mbaya kwa dunia ya sasa vyakula vingi na vinywaji lukuki vinaambatana na sumu hata kama ni viwango vya chini lkn madhara ya muda mrefu ni hakika.
Mkaa unasifa ya pekee. haufyonzi(absorb) sumu au kemikali hatarishi bali unazikamata(adsorb) na kutoka nazo nje kwa njia ya haja kubwa.
jinsi ya kufanya:
saga mkaa weka kwenye glass kiasi cha robo changanya na maji kujaza sehemu iliyobaki kisha kunywa hata mara mbili kwa siku. sio lazima kila siku ila kwa kipindi kifupi tu.
kama ambavyo mkaa hutumika kunyonya dhahabu migodini, utanyonya na kuondoa kemikali hasa heavy metals na kuziondoa. Hapo utakuwa umejiepusha na safari za matibabu india miaka yako ijayo bila gharama.
nimejifunza mahala...