Nampongeaa kagasheki kwa yeye mwenyewe kuamua kujiuzulu baada ya kuona kweli kuna shida ambayo ndani ya wizara yake. Ila katika kipindi chote hakuna taarifa aliyokwisha kuitoa kuhusiana na wahusika wa ujangili. Maana majangili yanafahamika. Mfano kuhusu twiga na wanyama wengine kusafirishwa lazima wizara ya maliasili itoe kibali je! Hadi jana lini aalishatoa taarifa kuhusu hilo? Loliondo kila leo wanyama wanauawa na mwarabu hajawahi kulizungumzia. Vipi kuhusu vibali vya site katika hifadhi. Ni wangapi amewapa kwa mgongo wa kichama? Sikatai kila mwanadamu aa madhaifu yake ila tuangalie pande zote. "MWIZI NI MWIZI HATA KAMA ANASAIDIA YATIMA BADO NI MWIZI"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.