Nguvu ya kukemea

Mkuu Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto mbaya ya kutisha kuna lori kubwa lilitaka kuniangukia kwenye ndoto nikasema shundwa katika jina la yesu likaangukia upande wa pili kuangalia dereva ni mchana mdogo wa kama miaka 12 hivi.maombi yanasaidia sana mkuu
 
Aaamen lingekuangukia kesho yangekuwa mengine
 
Aaamen lingekuangukia kesho yangekuwa mengine
Mimi binafsi nilikuwa siamini kuwepo uchawi ila sasa nimeamini ila kuna nguvu ishindayo nguvu zote ambayo ni nguvu ya mungu,ukiwa unamwamini mungu hakuna kinyamkera kitakacho kusumbua maishani mwako,na mchawi akikushindwa anaona na wewe ni mchawi kama yeye.mungu ni mwema umenitoa mbali.
 
Aaamen....!!! Barikiwa zaidi
 
Pia mlalo Wa kukutana kimwili kiroho mwanamke hulala chali na mwanaume humlalia juu. [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Hapa kwenye mkao nakukubalia, ndiyo maana kuna watu wakilala chali basi hupata ndo za kutisha! Pia mlalo Wa kukutana kimwili kiroho mwanamke hulala chali na mwanaume humlalia juu. Hizi zingine ni mbwembwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Mimi nakuelewa vizuri sana, ndiyo maana jamaa mmoja anasema "wanabidii sana ya kumtafuta Mungu lakini si katika maarifa"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…