Chadema ikitukanwa wewe unapata faida gani kwenu babako na mamakoMimi pia napitia youtube naona, kule wanapondwa mubashara mbaka aibu.
Humu tu ndio wamebaki wachache wana pambana na Hayati.
Uzuri unafahamu ukubwa wa CHADEMA, tatizo unajitoa ufahamu. Mwendazake ameiacha CHADEMA iko pale pale pamoja na mbwembwe zake zotemngekua mnalilia katika kwa ajili ya wananchi nadhan hata wananchi wangewasupport, tunajua kabisa mnataka katiba ya kuwaingiza madarakani ndo maaana mnakua empty mda wa kuongea na wananchi zaidi ya kufoka kwa sauti kubwa kama lema na mbowe
- whats even worse mkipewa ushauri hamtaki
Bora Dr slaa angekuwepo chadema alikisaidia kuwa na sera sasa hawana sera walimsimamisha tundu lisu kuwa mgombea urais sera yake nimeonewanmeipigwa risasi akasababisha chama kupata mbunge mmojaMkuu Dr slaa bora alivyoondoka Cdm lakini Kama angekuwepo bado yupo chadema kwa utawala wa mfu Magufuli angekuwa wa kwanza KUPIGWA RISASI KABLA YA LISU.
Jibu linamtosha
Mtu mwenye akili na sio mnafiki kama dr slaa hawezi kubaki chadema kile chama ni genge la wahuniMkuu Dr slaa bora alivyoondoka Cdm lakini Kama angekuwepo bado yupo chadema kwa utawala wa mfu Magufuli angekuwa wa kwanza KUPIGWA RISASI KABLA YA LISU.
Usiseme watu, sema wachaga tulichanga, simple!
Wapi nimeandika chadema inatukanwa? Babaangu na mama wanahusika vipi hapa.Chadema ikitukanwa wewe unapata faida gani kwenu babako na mamako
Mlijenga ofisi ya chama?Kwenye ile kesi ya kubumba last year watu walichanga Millioni 300+ in less than 24 hours !
Ila kwakua MATAGA ulikua unaimba mapambio kijijini kwenu Ikwriri huwezi kujua nguvu ya mitandaoni! Hadi mflame akaizima siku ya uchaguzi
Ni kweli ameiacha iko palepale na mbunge mmojaUzuri unafahamu ukubwa wa CHADEMA, tatizo unajitoa ufahamu. Mwendazake ameiacha CHADEMA iko pale pale pamoja na mbwembwe zake zote
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
CCM mna funds gan za kujenga bila kuwanyonya wajinga pesa zao huku mkiwaita wanyonge wasishtuke?Mlijenga ofisi ya chama?
Uzuri unafahamu ukubwa wa CHADEMA, tatizo unajitoa ufahamu. Mwendazake ameiacha CHADEMA iko pale pale pamoja na mbwembwe zake zote
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Uzuri unafahamu ukubwa wa CHADEMA, tatizo unajitoa ufahamu. Mwendazake ameiacha CHADEMA iko pale pale pamoja na mbwembwe zake zote
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Hapo ulipo unatamani cdm iwe inatukanwa na wananchi lakini wapi. Jazane majobless kwenye post za cdm, lakini cdm ni shida na imeshaingia mioyoni mwa watu, hivyo hamna uwezo tena wa kuifuta. Huku mitandaoni ni sehemu ya vijana ambao ndio nguvu ya cdm, uzuri huku mitandaoni hakuna vyombo vya dola vya kuwabeba. Hivyo mtatukana sana.Kwa nini mnatukanwa?
Hata angebaki marehemu angemuuwaMtu mwenye akili na sio mnafiki kama dr slaa hawezi kubaki chadema kile chama ni genge la wahuni
Hoja dhaifu mno, JPM alikua anatisha mno watuAmani iwe nanyi.
Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in Blood kule Facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko Instagram ndiyo balaa kabisa, njoo JamiiForums hali ni hiyo hiyo!
Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na Konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? Au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?
Hili wimbi la wafuasi wa Chadema kutukanwa mitandaoni chanzo ni nini?
Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Kisayansi ni lazima uone nguvu ya CDM imepungua kwa sababuAmani iwe nanyi.
Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in Blood kule Facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko Instagram ndiyo balaa kabisa, njoo JamiiForums hali ni hiyo hiyo!
Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na Konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? Au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?
Hili wimbi la wafuasi wa Chadema kutukanwa mitandaoni chanzo ni nini?
Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Ushabik ndo uligharimu taifa hiliAmani iwe nanyi.
Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in Blood kule Facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko Instagram ndiyo balaa kabisa, njoo JamiiForums hali ni hiyo hiyo!
Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na Konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? Au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?
Hili wimbi la wafuasi wa Chadema kutukanwa mitandaoni chanzo ni nini?
Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.