Nguvu ya bikra katika mapenzi

Nguvu ya bikra katika mapenzi

kwahiyo kama umeokota dhahabu sisi tumeokota nini
usitushushe hadhi kiasi hicho
Nyie mmeokota sarafu ya shilling kumi tena iliyo chakavu, ambayo haina tena thamani kama hapo awali japo bado inaweza ikatumika kwa baadhi ya bidhaa
 
imekuwa nikisikia habari nyingi kuhusu bikra lakini sikuziamini kivilee, nilijua mwanamke ni mwanamke haijalishi ukimkuta bikra au vipi ili mradi ana maumbile ya kike basi hakuna kinachoharibika. miezi kadhaa iliyopita nimebahatika kumpta mwanamke ambae ni bikra ambae nilikuwa namuwinda kwa muda mrefu sana sema ndo hivyo kila kitu kinawakati wake. hakuna kitu kizuri kwenye mahusiano ya kimapenzi kama kuwa na mwanamke ambae umemtoa mwenyewe bikra na kumfundisha mapenzi mwenyewe. kusema ukweli mi si mtulivu kwenye mahusiano lakini toka nikutane na huyu amenibadilisha sana maisha yangu ya kimahusiano, nahisi kitu ambacho sijawahi kuhisi maishani mwangu, kaimani ffulani moyoni na mwepesi ajabu. sijawahi kupenda hapomwanzo kama navopenda sasa. kwa ufupi nahisi raha na amani ya hali ya juu ambayo sijawahi kuipata mwanzoni. sasa nimeamua kutulia kabisa na kuachana na manungayembe ya mjini yanayotembeza k kila kukicha. nimepata wangu halisi miezi michache ijayo natarajia kuitwa baba. najiona mwenye bahati kumpata mwanamke bikra, anajua thamani yake, anajua nini maana ya maisha, ana heshima na anajua yeye ni nani. mwanamke bikra mtam. nimeokota dhahabu nashukuru Mungu kwa hil


Una hakika gani kuwa hiyo sio BIKRA ya kichina?
 
nimeokota dhahabu nashukuru Mungu kwa hili
While it is good for u, take note;
a) U can have that experience with any woman regardless of her sexual experience. Mshukuru kwanza huyo mwanamke kwa sababu anakupa raha yeye na si bikra yake. Usitukane wengine.
b) We ushapitapita una uhakika na yeye anafuraha hiyo uliyo nayo? Au moyoni anawaza ngoja ajaribu na pengine aone kama raha ni hii hii ama kuna cha ziada.
All in all u get my point that life goes on there's still more to come, usitukane watu
 
Nimekuwa nikisikia habari nyingi kuhusu bikra lakini sikuziamini kivilee, nilijua mwanamke ni mwanamke haijalishi ukimkuta bikra au vipi ili mradi ana maumbile ya kike basi hakuna kinachoharibika.

Miezi kadhaa iliyopita nimebahatika kumpata mwanamke ambae ni bikra ambae nilikuwa namuwinda kwa muda mrefu sana sema ndo hivyo kila kitu kinawakati wake. Hakuna kitu kizuri kwenye mahusiano ya kimapenzi kama kuwa na mwanamke ambae umemtoa mwenyewe bikra na kumfundisha mapenzi mwenyewe.

Kusema ukweli mi si mtulivu kwenye mahusiano lakini toka nikutane na huyu amenibadilisha sana maisha yangu ya kimahusiano, nahisi kitu ambacho sijawahi kuhisi maishani mwangu, kaimani ffulani moyoni na mwepesi ajabu. sijawahi kupenda hapo mwanzo kama navyopenda sasa.

Kwa ufupi nahisi raha na amani ya hali ya juu ambayo sijawahi kuipata mwanzoni. Sasa nimeamua kutulia kabisa na kuachana na binti wa mjini wanaotembeza k kila kukicha.

Nimepata wangu halisi miezi michache ijayo natarajia kuitwa baba najiona mwenye bahati kumpata mwanamke bikra, anajua thamani yake, anajua nini maana ya maisha, ana heshima na anajua yeye ni nani mwanamke bikra mtamu. nimeokota dhahabu nashukuru Mungu kwa hili.
Umesha muoa au unaanza na mtoto kwanza ndoa baadae? kama bado basi harakisha wasije kukuibia ukaanza kulia na mito kitandani...
 
Hahahaha hapo mkuu naona umewaumiza wengi,wadada waliogawa k zao kishamba shamba na kuachwa bila kuolewa woote wanaanza kukuandama mkuuu,hahahahha,binafsi bikira siwapendi kwasababu sienjoy nikifanya nao lakin kwa kuoa mzee hakuna zaidi ya bikira,haya maveterani madunga nyenyeee waachie wataka makombo mzee,sisi tutafute pesa tu na nyumbani tupack bikira tu....hahahaa
 
hongera mtoa mada kwa ubinafsi na udhalilishaji.
ubinafsi wako uko hivi, hujamuoa huyo binti na kuamua kumzalisha, kwa kujali furaha zako tu.
lakini pia unamtumia na kuna siku utamchoka na kumfanya akaitwe majina mabaya na wengine kama wewe ulivyowaita wanawake wengine majina mabaya.
lakini pia huijui kesho yako, unaweza kupoyeza uwezo wa kuwa na huyo binti kwa kuugua, ajali au hata kifo na kumuacha huyo dada akiwa sio bikira tena naye aitwe mtembeza k?
Umesema umesharukaruka sana vipi kale kaugonjwa mlipima na huyo bikira kabla hijaamua kumzalisha??
Mwisho naungana na wachangiaji wengine kupinga maneno yako mabaya juu ya wanawake. wanawake ni mama zako, shangazi zako, dada zako na binti zako. Waheshimu kama ambavyo ungependa kuheshimiwa.
 
Back
Top Bottom