Kwa tunaomfahamu Hawa Abdulrahman Ghasia hatushangai!
Hawa hajawahi kupelekeshwa
Kwenye anachoamini iwe sahihi au laa ana ujasiri wa kussimamia!
Namfananisha Sana Na Hayati Bibi Titi Mohamed
Kuna Timbwili Moja liliibuka Mzumbe University Miaka ya Nyuma wengi wetu tulishangaa ujasiri wa Binti Yule wa Kimakonde
Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?
Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!
Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote
Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo
Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?
Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!
Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote
Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo
Kuna kitabu kinachomuelezea Bibi Titi?Sasa hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kajiuzulu ina uhusiano gani Na Serikal?
Bibi Titi Mohamed ndio Mwanamke pekee wa enzi hizo alikuwa Na uwezo wa kumwambia Mwl Nyerere hapo umekosea Mwalimu!
Kuna Siku aliwahi kusema kwenye Kikao Kuwa Yeye anamuogopa Mungu Pekee akalazimishwa kuomba Radhi Kwa Kauli hiyo akakataa akasema yupo tayari Kwa lolote
Hawa anafanana Sana Na Bibi Titi japo wana utofauti kidogo
Kuchangia mada kama hizi siku hizi kunahitaji TAHADHARI KUBWA
Jr
Nadhami ameamua kutusomesha namba ili tuamke. Tumelala mno.Hii Nchi sijui tulimkosea nini MUNGU
Ntake radhi sheikh
Hawa Mtoto wa late 1960s enzi hizo tayari nipo mitaa ya Mwembe togwa nacheza chandimu Shule
Ntake radhi sheikh
Hawa Mtoto wa late 1960s enzi hizo tayari nipo mitaa ya Mwembe togwa nacheza chandimu Shule
Muda wao ukiisha - 2025 au 2035 mnaweza kuendelea na mambo yenu ya lojolojo! Ila kwa sasa, pisheni mwenye nguvu apite. Tanzania kwa sasa hakuna tena muda wa blah blah.Hivi hawa waliopo wanadhani watakuwa madarakani hadi lini ?
ni kweli huu muda ni wa njaa tu na kulimia menoMuda wao ukiisha - 2025 au 2035 naweza kuendele na mambo yenu ya lojolojo! Ila kwa sasa, pisheni mwenye nguvu apite. Tanzania kwa sasa hakuna tena muda wa blah blah.
MmmmhhSiyo siri tena kwamba bunge sasa limekandamizwa na nguvu toka juu.
Ukiniuliza sababu za kujiuzulu kwa mwenyekiti (Hawa Ghasia) na makamu wake ktk kamati ya bajeti jawabu litakuwa ni rahisi tu...
"Sakata la Korosho".
Kama mtakumbuka sakata hili lilipelekea nguvu toka juu kutishia kuwatwanga mashangazi wa kusini.
Sasa nguvu kutoka juu imeamua kumsukuma nje kinara wa sakata hili Hawa Ghasia. Na bado haitaishia hapo. Nimetonywa kwamba kila aliye lishadadia sakata hili nguvu kutoka juu itamshughulikia 2020.
Siyo mara ya kwanza kwa nguvu toka juu kuwafyeka wenyeviti wa kamati za bunge. Bado tunawakumbuka Dr Kafumu (mwenyekiti) na makamu wake Vicky Kamata amabao wallikwaza nguvu toka juu kwa kupanga mpango wa kumtembelea mbunge mwenzao G. Lema akiwa gerezani Kisongo.
Nguvu kutoka juu imelikamata bunge kweli kweli .
Hakika. Mengine tumwachie Mola!Kuchangia mada kama hizi siku hizi kunahitaji TAHADHARI KUBWA
Jr
hahahahahaa nguvu kutoka juu,wapi huko mkuu,mbinguni au ikulu,kama ni ikulu tuiite nguvu kutoka magogoni,hata hvy ktk serikali hii hakuna aliye salama,rafiki ya jiwe ni yule atakayemsifia tena kwa kumtaja majina yote matatu kabla na baada ya hotuba yake popote atakapokuwa,ni kama sala kabla ya kula umtaje Jiwe na baada ya kula umtaje Jiwe,hii namba itasomwa sana walioko ndani na walio njeSiyo siri tena kwamba bunge sasa limekandamizwa na nguvu toka juu.
Ukiniuliza sababu za kujiuzulu kwa mwenyekiti (Hawa Ghasia) na makamu wake ktk kamati ya bajeti jawabu litakuwa ni rahisi tu...
"Sakata la Korosho".
Kama mtakumbuka sakata hili lilipelekea nguvu toka juu kutishia kuwatwanga mashangazi wa kusini.
Sasa nguvu kutoka juu imeamua kumsukuma nje kinara wa sakata hili Hawa Ghasia. Na bado haitaishia hapo. Nimetonywa kwamba kila aliye lishadadia sakata hili nguvu kutoka juu itamshughulikia 2020.
Siyo mara ya kwanza kwa nguvu toka juu kuwafyeka wenyeviti wa kamati za bunge. Bado tunawakumbuka Dr Kafumu (mwenyekiti) na makamu wake Vicky Kamata amabao wallikwaza nguvu toka juu kwa kupanga mpango wa kumtembelea mbunge mwenzao G. Lema akiwa gerezani Kisongo.
Nguvu kutoka juu imelikamata bunge kweli kweli .
Hata shangazi zake hawataponaJe Majaliwa atapona ?
Spika ni tatizo kubwa pia.