Nguvu Iliyopo ndani ya mtu

Nguvu Iliyopo ndani ya mtu

hizo zote ni trick tu hakuna nguvu yoyote ukiangalia huo mguu wa tatu ni ujanja tu,ukiangalia hicho kichwa ni toi tu,kutembea juu ya maji pia ni trick tu
 
Hawa waganga siku hizi wanapiga hela humu [emoji23][emoji23]
Kuna mmoja anapost hizi vitu humu nikamfuata pm akaniomba hela ili anisaidie ninachotaka ndio nikajiongeza kumbe hawa wazee ni sawa na wale wa ile hela itume kwenye namba hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna nguvu ishindayo nguya ya kusamehe na kusahau" ikiwa uko na haki ya kuadhibu au kuwajibisha.
 
Back
Top Bottom