Nguruwe wanauzwa

Nguruwe wanauzwa

Jamanii nguruweee ni haram kuliwa dini zote mbili zinafundisha ivyoooo
Tatizo lenu mbonaga nguruwe tuu ndo najisi, ila vitu vingine kama kwichikwichi hamuonagi unajisi wake. Tutoleeni unafiki wenu. Kama mnaishi kwa maandika ya kina Mussa oeni wake wengi, ueni wanawake wachawi, tendeni dhambi then mkatoe sadaka ya kuchinja kwa makuhani... Acheni kupotosha em..
 
Pole sana! Povu lote hilo sababu ya nguruwe?? Mungu amekupa vingapi vilivyo halali? Kwa jina lako hapo juu ongezea pale mbele "MLYAJOSE" (ie Mla chochote) itakufaa zaidi
Ukome kusema Mungu ameumba haram Mungu alipo maliza uumnaji alisema vyote ni vizuri...wee ndio unaongeza amri ya 11 eti usile nyama ya nguruwe kwa nini mnasingizia Mungu?! Kinacho takiwa ni Kumshukuru Mungu kwa Neema tusiyo stahili... upate kidari mbuzi katoliki iliyo kuwa roasted, chachandu+kachumbari ya matango..na mchicha uliochovywa kwenye mafuta yake mnyewe.. + ka-laga baridii kanatoa jasho ka kushushia walahi utasema mwenyewe alhamdulilahi...
 
Karibuni kwa wenye interest na Nguruwe hasa wa kuchinja maana ndo wakati wake huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom