mommythebest
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 516
- 617
Tatizo lenu mbonaga nguruwe tuu ndo najisi, ila vitu vingine kama kwichikwichi hamuonagi unajisi wake. Tutoleeni unafiki wenu. Kama mnaishi kwa maandika ya kina Mussa oeni wake wengi, ueni wanawake wachawi, tendeni dhambi then mkatoe sadaka ya kuchinja kwa makuhani... Acheni kupotosha em..Jamanii nguruweee ni haram kuliwa dini zote mbili zinafundisha ivyoooo![]()
![]()
Mungu alipo maliza uumnaji alisema vyote ni vizuri...wee ndio unaongeza amri ya 11 eti usile nyama ya nguruwe
kwa nini mnasingizia Mungu?! Kinacho takiwa ni Kumshukuru Mungu kwa Neema tusiyo stahili...
upate kidari mbuzi katoliki iliyo kuwa roasted, chachandu+kachumbari ya matango..na mchicha uliochovywa kwenye mafuta yake mnyewe..
+ ka-laga baridii kanatoa jasho ka kushushia
walahi utasema mwenyewe alhamdulilahi...