Nguruwe wanauzwa

Nguruwe wanauzwa

052e734bd544b19b93ef4ed7dd9f4cef.jpg
Hahaaa mkuu nawewe unaviuza hivi??
 
Hahaaa mkuu nawewe unaviuza hivi??
Mkuuu acha hawa nawafuga niliamua kujiongeza kidgo changamoto za maisha nikaona nitafute ka mradi kangu sema nime wapata kwa bei nafuuu sana nime w chukua lugalo kimoja elfu 25
 
Tunauza Nguruwe. Ni wa ukubwa tofauti na Mbegu tofauti (tunauza kuanzia wa miezi 3 na kuendelea). Wana afya njema na wanakuzwa kwa matunzo yanahitajika kitaalam. Tupo Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza. Bei ni nafuu sana, kama huna usafiri tunakuletea wenyewe (utalipia gharama kidogo za usafiri baada ya kupata mzigo wako).

Njoo PM kwa anayehitaji. Biashara ni endelevu

View attachment 487448 View attachment 487449
Laanatu llah
 
yani mtu uzinzi unafanya, matusi unatukana, na dhambi zingine kedekede ila dhambi ya kula nguruwe tu, ndo mnaionaga kubwa.
 
Sio mara moja kwa wauzaji wa huyo mdudu kukiri kwenye mfungo wa ramadhani biashara yao huenda mrama nmemewaza kwa sauti hv vitu vinaingilianaje
 
Kwani nani amekuuliza kama ni haramu au sio?? Unataka kununua au hutaki??
kwan we huoni hapo wanavyo fanyana angalia vizur..wee mnyama ukitaka kumchinja mpaka umpige rungu..ndio maana vitab vilisema ni haramu
 
Naomba kwa mwenye Interest aje PM, ufafanuzi wa ziada na contact nitampatia

Hawa wengne wanaoibua mada zao achaneni nao. Kwani kama habari haikuhusu huku umefuata nini?? [HASHTAG]#Tusipangiane[/HASHTAG]
 
Wadau hakuna nyama tamu kama ya huyu mdudu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom