Nguruwe wadogo wanauzwa, Arusha

Nguruwe wadogo wanauzwa, Arusha

Gemini 16

Member
Joined
Jun 4, 2023
Posts
53
Reaction score
59
Wakuu habari?

Kama title inavyosema, maelezo zaidi ni kama ifuatavyo.

Idadi: 10
Umri: Miezi miwili na nusu.
Bei: @120,000/= (Maongezi yapo)
Eneo: Arusha, Themi Hill.

Karibuni wakuu!

IMG_20230622_141347_2.jpg IMG_20230623_124657_1.jpg IMG_20230623_124644_3.jpg IMG_20230623_124627_6.jpg IMG_20230623_124621_0.jpg IMG_20230623_124611_6.jpg IMG_20230623_124520_1.jpg IMG_20230623_124454_8.jpg IMG_20230623_124444_8.jpg

UPDATES: Done deal..! Shukrani kwa ushirikiano wenu.
 
Wakuu habari?

Kama title inavyosema, maelezo zaidi ni kama ifuatavyo.

Idani: 10
Umri: Miezi miwili na nusu.
Bei: @120,000/= (Maongezi yapo)
Eneo: Arusha, Themi Hill.

Karibuni wakuu!

View attachment 2666533View attachment 2666534View attachment 2666535View attachment 2666536View attachment 2666537View attachment 2666538View attachment 2666539View attachment 2666540View attachment 2666541
Choice variable anauliza namba za simu au mawasiliano .

Au ukifika arusha choice variable anawapataje?
 
Kuna jamaa yangu katika imaan anafuga kuku pamoja na hawa wadudu kibiashara. Na kila mwaka anavuna mihela tu.

Wewe endelea na hiyo Astaghfirullah yako.
Mkuu, mbona unamzalilisha? Haitwi mdudu BWANA, hii nyama ina heshima yake; ikitayarishwa kama kitoweo ina itwa porck. Ukiwa na familia kubwa ya wake wengi kwa wakati mmoja na watoto kibao huwezi kumudu kula porck.
 
Back
Top Bottom