Nguruwe mwitu wamesahaulika

Haya, turudi kwenye topic, vipi, hawa wanapatikana huko ulipo???
au wazee wa Vitalu wameshawachakachua wameisha??
Pemba wapo hawa??
Nyara ya taifa hii!!!
 
Haya, turudi kwenye topic, vipi, hawa wanapatikana huko ulipo???
au wazee wa Vitalu wameshawachakachua wameisha??
Pemba wapo hawa??
Nyara ya taifa hii!!!



Hawa wa vitalu sioni dalili ya kuwachangamkia hawa nguruwe, maana nguruwe anafugwa karibu kila bara duniani labda nchi za kiarabu tu kwa sababu ya imani zao. Hivyo wa vitalu hawana sababu ya kuwaiba kwa vile hawana soko.
 

ni rasilimali yetu lakini kutokana na hasara ya kula mazao wanayowatia wakulima masikini wa mihogo na viazi pindi waingiapo shambani wamewekwa ktk kundi la wanyama waharibifu sawa na panya na nzige. So kuwatangaza sio ishu manake wawekezaji ktk kilimo hicho watasita kuja kuwekeza.
 
hao jamaa watamu kuliko hawa tunaouziwa mjini tena hawana mafuta sana kama wa kufugwa

Basi tuanzishe vitalu vya uwindaji maana wengi wanasema utamu wa nyama yake haukamatiki, ndo maana wajanja waliwatishia wasiwadhuru kwa hoja ya kundi la mnyama haramu ili wachache wafaidi
 
Dah,pole sana mkuu! Ni kweli uwe makini hiyo ni nyara ya serikali.
 

Ni kweli mkuu. Unajua wanaongoza kwa utamu na kila mtu akiwaona anawamezea mate nando maana wako hatarini kutoweka. Ila ukiwahitaji maeneo ya Dar nenda kwa maeneo ambako kuna waislam wengi hasa Pemba Mnazi. Huko hawa ni sumu, huku kwetru ni dhahabu kaka/
 
Huyu si nguruwe ni mnyama pori aitwaye ngiri, kwa umbile anafanana kidogo na nguruwe ila wanatofautiana kwa kiasi kutokana na ngiri meno yake kuwa kama pembe na nguruwe meno yake hayarefuki sana kama ngiri.

Kama Ngiri siyo Nguruwe, je hao NGIRI ni halali kwa kitoweo kwa wavaa pedal!
 
Akiiva huwa hivi......


Umedhamiria kuwarudisha kundini baadhi maana wakiona hii kitu walai sheria za msahafu kando kwanza, na ukisha onja katu hutaacha, maana si dhambi ati kwani vyote kaumba Mkuu wa yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…