Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Ngurumo ni majeruhi wa siasa za mtandao hayuko kwa maslahi ya taifa anagombana na waliomtosa
Hivi ngurumo ni nani tena?
Usihangaike nao,wengi wanaolialia humu ni waandishi wa habari wa mlengo wa salva! Hawawezi kuandika shutuma hizi kama makala kwenye magazeti yao.kwa vile wote tunajificha humu kwa majina feki wanajiona uhuru! Kumbe hata maandishi yao yanawatambulisha.hawana hoja,wajibu hoja za ngurumo basi tuone!!MBONA KWELI TUPU?Anayekanusha lolote hapo akanushe!
Imbecile@worksikutegemea kwamba mtu kama Ansbert Ngurumo angaweza kuandika habari za kumchafua Rais Kikwete na kubeza yote yaliyofanywa na serikali ya chama cha mapinduzi
tutakumbuka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, Ngurumo ni mmoja kati ya watu waliotegemea kupata nafasi ikulu kama shukrani toka kwa Jk na chama cha mapinduzi amekuwa akilalamika kwa muda mrefu baada ya kukosa nafasi hiyo na akasema wazi kupitia mtandao huu wa JF kwamba mtu pekee anayeweza kumshambulia ni Rais Kikwete.
Uandishi ni kuchagua,yeye kachagua taasisi ya Urais,mnataka kila mtu aandike habari za ujenzi wa barabara? Ngurumo ni jasiri ndio maana hawamgusi wala kujibu hoja zake! Jibuni hoja zake basi mbona hamyajibu maandishi yake? Yote ni kweli tupu!nilishaacha kusoma makala ya Ngurumo baada ya uchambuzi nikagundua ana ajenda ya siri iliyojificha kwa maslahi yake lakini wengi wetu tunamuona ni mwandishi makini tujaribu kufuatilia
prove it kama wana ugomvi binafsinapata kichefuchefu kumjadili Ngurumo hana mpya kwenye uandishi yeye ana ugomvi binafsi na kikwete
muulize nape ana chochote kipya after several month kwenye jukumu alilopewa?mwandishi makini hawezi kuandika habari moja na ya mtu mmoja kwa miaka 5 ana lake jambo
prove it kama wana ugomvi binafsi
Ni jamaa mmoja hivi mhariri wa Tanzania daima, nasikia Kabla JK hajakataa balozi mmoja toka nchi za ng'amo ambaye alikuwa na mke ambaye ni MTOTO SI RIZIKI, alianza kwa kumkataa NGURUMO kuwa mwandishi wake kwa sababu hiyo hiyo.
sikutegemea kwamba mtu kama Ansbert Ngurumo angaweza kuandika habari za kumchafua Rais Kikwete na kubeza yote yaliyofanywa na serikali ya chama cha mapinduzi
tutakumbuka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, Ngurumo ni mmoja kati ya watu waliotegemea kupata nafasi ikulu kama shukrani toka kwa Jk na chama cha mapinduzi amekuwa akilalamika kwa muda mrefu baada ya kukosa nafasi hiyo na akasema wazi kupitia mtandao huu wa JF kwamba mtu pekee anayeweza kumshambulia ni Rais Kikwete.