Nguo zenye rangi ya Jeshi


Sasa kofia ya nchi nyingine inahusiana nini na kofia la hapa kwetu!! sasa nasema hivi nitaagiza na nitavaa, just wait! Kama sijaripoti kwa mkubwa wao
 
Mkuu ikulu mbali,hata kwenye vituo vya mwendokasi wanakamata watu wanaopiga picha
 
Askari yeyote aliyehudhuria mafunzo ya kijeshi na kufuzu hutenda jambo lolote kwa amri, kinyume cha hapo ni utovu wa nidhamu ya kijeshi na huadhibiwa kijeshi kupitia MPs.
 
Unachanganya kuvaa sare ya jeshi na kuvaa nguo zenye rangi rangi kuvaa kofia au pensi wala suruali bado sio sare ya jeshi mkuu uwezi vaa kofia ya rangi ya jeshi na raia waseme ni mwanajeshi itakua wendawazimu
Kwann uvae mavazi ya mfano wa uchungaji Hali wewe sio
 
Huyo kibaka alovaa kofia ya jeshi alipaswa kuvuliwa nguo zote abaki uchi, watanzania mmekuwa viburi sana, vibaka kama hao nikiwakuta sehemu yoyote nawatia mbata nawavua nguo zote

uje ujichanganye kwangu nikukamue kinyesi hiko
 
Marekani mtu anavaa vizuri tu
 

mbona nchi nyengine wanavaa na hakuna shida? Wabongo bano tuishi 60's
 
mbona nchi nyengine wanavaa na hakuna shida? Wabongo bano tuishi 60's
Ukiona mtu anaanza sentensi na neno " Mbona" ujue ana tatizo kubwa kwenye ubongo wake ( defect in reasoning) na yeye hajijui. Changamoto za kiulinzi za Kila nchi zinatofaitiana. Sheria za nchi zinatofaitiana. Tanzania tumepakana na nchi nyingi zenye political instability.
Ukiruhusu raia kutumia VIFAA vya Jeshi lolote duniani ndani ya jamhuri ya muungano utaleta maafa. Swali ni kwanini nguo za majeshi tuu?

Kwa nini usivae nguo za maiti ( sanda)?

Kwa nini usivae nguo za wafungwa wa kunyongwa ( condemn)?

Kwa nini usivae nguo za wagonjwa waliolazwa hospitali?

Kwa nini usivae uniform za manesi ? Mbona za Jeshi Kuna nini?
 
Nakazia
 
Kimsingi hairuhusiwi...

Kitu pekee kilichozua zogo hapo labda ni mjeda kukosa hekima ya namna ya kumsanua huyo aliyevaa kwamba kakosea...
 

kwani jeshi ameruhusika wapi kufanya abuse?
 

waafrika ni watu wapumbavu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…