Tunamiliki liduka cha nguo cha mtaji kama 2m! ni mwezi 1 toka tuanze ,niliwahi kuambiwa hapa kama nahitaji nguo niende Kampala !
Hivi karibuni nitasafiri kwenda Kampala kwa mission tofauti ,nataka kutumia muda huo pia kuangalia uwezekano wa kuangalia ni jinsi gani ya kupata nguo huko !Naomba mwenye taarifa juu ya bei za nguo Kampala (mpya na mitumba) aniambia na namna zinavyoweza kulipa na uapatikanaji wake .
Natanguliza shukrani!
Hivi karibuni nitasafiri kwenda Kampala kwa mission tofauti ,nataka kutumia muda huo pia kuangalia uwezekano wa kuangalia ni jinsi gani ya kupata nguo huko !Naomba mwenye taarifa juu ya bei za nguo Kampala (mpya na mitumba) aniambia na namna zinavyoweza kulipa na uapatikanaji wake .
Natanguliza shukrani!