Nguo ambayo haina rangi

Tetra

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
1,520
764
Tajiri mmoja alitaka kufunga ndoa,akaamua ashone nguo ambayo haina rangi,,akamweleza fundi cherehani amshonee nguo hiyo na atampa kias chochote atakachotaka,,FUNDI cherehan akawazaa akaona hakuna kitambaa ambacho hakina rangi,,akamjibu Tajiri "Ntakushonea nguo hiyo,,ila na wewe siku ukileta pesa,usije jumatatu,jumanne,jumatano,alhamis,ijumaa,jumamosi wala jumapili,,tafuta siku tofaut na hizo uje.
 
Tajiri mmoja alitaka kufunga ndoa,akaamua ashone nguo ambayo haina rangi,,akamweleza fundi cherehani amshonee nguo hiyo na atampa kias chochote atakachotaka,,FUNDI cherehan akawazaa akaona hakuna kitambaa ambacho hakina rangi,,akamjibu Tajiri "Ntakushonea nguo hiyo,,ila na wewe siku ukileta pesa,usije jumatatu,jumanne,jumatano,alhamis,ijumaa,jumamosi wala jumapili,,tafuta siku tofaut na hizo uje.

like it!!!!!kama kufungana basi ni bao tatu kwa tatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom