Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,520
- 764
Tajiri mmoja alitaka kufunga ndoa,akaamua ashone nguo ambayo haina rangi,,akamweleza fundi cherehani amshonee nguo hiyo na atampa kias chochote atakachotaka,,FUNDI cherehan akawazaa akaona hakuna kitambaa ambacho hakina rangi,,akamjibu Tajiri "Ntakushonea nguo hiyo,,ila na wewe siku ukileta pesa,usije jumatatu,jumanne,jumatano,alhamis,ijumaa,jumamosi wala jumapili,,tafuta siku tofaut na hizo uje.