muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 59
wandugu.
nina mdogo wa rafiki yangu, anasema ngozi yake (esp. ya usoni) ina mafuta sana. atembeapo juani yani kama kitumbua jinc ngozi inavotoj mafuta. vp atumie lotion au mafuta ya aina gani?
nina mdogo wa rafiki yangu, anasema ngozi yake (esp. ya usoni) ina mafuta sana. atembeapo juani yani kama kitumbua jinc ngozi inavotoj mafuta. vp atumie lotion au mafuta ya aina gani?