Ngorongoro crater.... (domestic tourism)

Ngorongoro crater.... (domestic tourism)

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
IMG_20180201_130645.jpg
IMG_20180201_130648.jpg
 
utakuta jamaa kalipishwa elfu 60 kwa sahani halafu anajifanya kashiba kumbe kaibia. Hiyo elfu 60 mtaani unapata gunia la mpunga unakula miezi sita
Mkuu, wewe kale ushibe. Mimi na support utalii wa ndani
 
Mkuu, wewe kale ushibe. Mimi na support utalii wa ndani
kawekeze uje kujenga taifa baadae kwa kutoa ajira kwa wengine. Hayo mambo yakujifanya unaenda Ngorongoro na kuishia kupost wali nyama na mavitunguu mabichi ni utoto tu ukikua utaacha. Kuna level za maisha hata ukipanda first class kwenye Airbus haupigi picha (high level of maturity) wewe umetumia hela zako za ngama kula hapo Ngorongoro unaona ufahari. Sio kwamba sipendi ufanye utalii ila naona kama bado hujatusua kwa style yako ya maisha ya kula wali nyama na kutupostia huku. Inaonyesha bado mgeni wa maisha nadhani siku ukila yale mavyakula ya business class ya Emirates utapiga picha mpk storage ya simu itajaa
 
Back
Top Bottom