Ngoromiko (Jini mrefu aonekanaye usiku)

Ngoromiko (Jini mrefu aonekanaye usiku)

Alagwa

Member
Joined
May 30, 2012
Posts
97
Reaction score
89
Wakati nakua huko nyumbani (Arusha) nilikuwa nasikia story za kutisha kuhusu kiumbe kiitwacho Ngoromiko

Wasifu wa ngoromiko
  • Mrefu sana
  • Huonekana mara nyingi usiku tuu
  • Huwasha taa mara Moja na kuzima taa hiyo inasemekana ipo kwenye paji lake la uso.
  • Mwili wake umegawanyika mara mbili upande ngumu kama chuma na nusu ni kama binadamu

Je, umewahi kusikia kitu kuhusu kiumbe hiki tuambie?
 
Hahaaa... hapo sasa! Huyo atakua jini wa kwenye bongo muvi 😀😀 Jini bila tochi hatoki usiku 😂😂
Kwa hiyo ni kweli wachawi wa kwenye bongo movie huwa wanatembeaga na mishumaa usiku ili iwamulikie gizani.
 
Wakati nakua huko nyumbani (arusha) nilikuwa nasikia story za kutisha kuhusu kiumbe kiitwacho ngoromiko
Wasifu wa ngoromiko
Mrefu sana
Huonekana mara nyingi usiku tuu
Huwasha taa mara Moja na kuzima taa hiyo inasemekana ipo kwenye paji lake la uso.
Mwili wake umegawanyika mara mbili upande ngumu kama chuma na nusu ni kama binadamu
Je umewahi kusikia kitu kuhusu kiumbe hiki tuambie

Myths!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom