Ngoja ntakuelezea maana zaidUvulana ni nini?
Unasema una miaka 30 halafu Bado unajiona mvulana?
Mwaka huu tumepata na bei Iko njema kabisaMwaka huu mavuno yametema sio poa🤣 sisi mafuriko yakituharibia moro
Acha uvivu wa kulomba kijanaNgoja ntakuelezea maana zaid
Dadeq 😂 Rudisha nanii zetu
Human job true true😂🥂😅😅 daah ila sisi binadamu tunakazi kweli kweli
Ulipo wewe bei ya mahindi ipoje?Mwaka huu tumepata na bei Iko njema kabisa
Tumepata mahindi, maharage, kahawa.
Wenzetu waliolima Michele wanachekelea tu, Wakenya wanafika bei
Kwahy hakuna atakachokwepa 😂Uzuri wazinzi, Wezi na Waongo wote moto wao ni ule ule 🤪
Kakuhudumiana wao kwa wao siyo!Wale jamaa wana kadunia kao..
Wanahudumiana wao kwa wao..Kakuhudumiana wao kwa wao siyo!
Mapadre bwana! Hivi KAZI ya masista ni nini hasa kule kanisani?Wanahudumiana wao kwa wao..
Huwa ni wahudumu katika jamii, kuna ambao ni madaktari, wauguzi, walimu n.k...Mapadre bwana! Hivi KAZI ya masista ni nini hasa kule kanisani?