Mbundenali
Member
- Jan 9, 2012
- 64
- 37
unashangaa hilo mkuu. tena bora hao wamefanyia chooni. wengine hufanyia ofisini kabisa tena kwenye hiyo meza ya kazi
tena mby zaidi bdh y walimu wnfny n wnfnz
unashangaa hilo mkuu. tena bora hao wamefanyia chooni. wengine hufanyia ofisini kabisa tena kwenye hiyo meza ya kazi
Madai yao ni kampeni dhidi ya maambukizi ya Ukimwi. Ndiyo maana wanaweka condoms dispencer chooni
Je, ya $ utalala?WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?
MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI
UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:
WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?
MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI
UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:
Mi nahisi kuna wanando hawatoshelezwi huko nyumbani. Sasa kama ni hivyo si uongee na mwenza wako. Mbona siku hizi kuna mpaka vitabu ambavyo mnaweza soma mkajifunza mambo mapya mazuri ktk ndoa yeni, na kilifanya tendo la ndoa kuwa exciting.
Jamani wanandoa hebu jieshimuni
Tatizo ghubu, ww anataka kuanza mwenzako anaanza kukusimanga, mara ningejua nisingeolewa na ww, mara kuwa kama mwanaume ww, unafikiri machine itaweza kuwa wima nusu saa!!!Mi nahisi kuna wanando hawatoshelezwi huko nyumbani. Sasa kama ni hivyo si uongee na mwenza wako. Mbona siku hizi kuna mpaka vitabu ambavyo mnaweza soma mkajifunza mambo mapya mazuri ktk ndoa yeni, na kilifanya tendo la ndoa kuwa exciting.
Jamani wanandoa hebu jieshimuni
ee MUNGU WANGU, ni uchafu gani huo? Na mwanamke mzima utakubalije kufanywa kama mbwa? Tena mbwa koko shenzi zao wanawake wote wanaofanya ushenyi huu
WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?
MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI
UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:
jamani kama kuna mabosi wameona hii story basi wajaribu kuwafwatilia waajiriwa wao na wawape maadili ya kazi ila me siamini kama kuna vitu kama hivi je vinafanyika mchana au ni kazi za usiku?
jamani kama kuna mabosi wameona hii story basi wajaribu kuwafwatilia waajiriwa wao na wawape maadili ya kazi ila me siamini kama kuna vitu kama hivi je vinafanyika mchana au ni kazi za usiku?
labda tuseme, wapi ngono inapaswa kufanywa na nani unapaswa kufanya naye ni tabia ya makuzi na changamoto ndani ya mahusiano. Wengi, huwa tunatabia ya kushangaa vitu hivi, lakini mara nyingi vimekuwa vinafanyika, kila mahali misikitini,kanisani hadi maofisi ya viongozi wajuu. Labda cha kujiuliza kwanini watu wamekuwa wanaonekana mara kwa mara siku za karibuni. Pia nilidhani katika zama hizi za usasa, watu wengeweza kuelewa tu, je ni kwanini swala la ngono za nje ya mipaka zimekuwa kyero?