Ng'ombe wa Maziwa wanauzwa

Erick_Otieno

JF-Expert Member
Mar 28, 2010
624
1,020
N'gombe maziwa wa kisasa 5 wanauzwa. Bei Tsh700,00/= mpaka Tsh.950,000/= Kwa anayehitaji tuwasiliane. Kilimo kwanza!
 
wako wapi?Kama niko Biharamulo unaweza kuwatuma huku au inakuwaje kwenye usafiri?
 
Wako Mbezi kwa Msuguri Dar es Salaam. Usafiri tunaweza kupangilia tukikubaliana. Unaweza kuni PM kwa maelezo zaidi.
 
Dr. Mbale (a.k.a Dr. Ernesto Che Guevara-II) anawatafuta muda mrefu sasa

https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/68027-ngombe-bora-wa-maziwa.html
Majimoto, nashukuru kwa kukumbuka kuwa nawatafuta sana.
Nitawasiliana na huyu mdau. Niangalie tutaelewana naye vipi. Si unajua wabongo tukishaona mtu anahitaji kitu tunambamiza bei hata mara 3 ya bei halisi bila kujali ubora, wakati huo huo tunakuwa hatujui tunayembamiza anafahamu kwa undani kuhusu biashara hiyo (eg. mimi mwenyewe nimekulia kwenye familia ya wafugaji na nimechunga ng'ombe hadi nikiwa Form 4, ningeendelea kuchunga hadi nikiwa hata Form 6 lakini ng'ombe waliisha nikiwa nd'o naingia Form 5 na ng'ombe wa mwisho kabisa kuuzwa alikuwa ng'ombe wangu). So, nitawasiliana na huyu mdau nimsikilize. Thanks Majimoto.
 
Majimoto, nashukuru kwa kukumbuka kuwa nawatafuta sana.
Nitawasiliana na huyu mdau. Niangalie tutaelewana naye vipi. Si unajua wabongo tukishaona mtu anahitaji kitu tunambamiza bei hata mara 3 ya bei halisi bila kujali ubora, wakati huo huo tunakuwa hatujui tunayembamiza anafahamu kwa undani kuhusu biashara hiyo (eg. mimi mwenyewe nimekulia kwenye familia ya wafugaji na nimechunga ng'ombe hadi nikiwa Form 4, ningeendelea kuchunga hadi nikiwa hata Form 6 lakini ng'ombe waliisha nikiwa nd'o naingia Form 5 na ng'ombe wa mwisho kabisa kuuzwa alikuwa ng'ombe wangu). So, nitawasiliana na huyu mdau nimsikilize. Thanks Majimoto.

Acha hizo jamaa bei ameisha itaja hapo juu. Ila nimependa Longo longo yako, hii inaitwa "bargaining power of a buyer" Kuna nyingine inaitwa "Bargaining power of a Supplier, Jamaa anayeuza ng'ombe hajaitumia. kitu kama " Ngomb'e hao wanakula majani kidogo na kutoa maziwa mengi vile vile hawaugui, wanaweza kujichuunga wenyewe n. k
 
Majimoto, nashukuru kwa kukumbuka kuwa nawatafuta sana.
Nitawasiliana na huyu mdau. Niangalie tutaelewana naye vipi. Si unajua wabongo tukishaona mtu anahitaji kitu tunambamiza bei hata mara 3 ya bei halisi bila kujali ubora, wakati huo huo tunakuwa hatujui tunayembamiza anafahamu kwa undani kuhusu biashara hiyo (eg. mimi mwenyewe nimekulia kwenye familia ya wafugaji na nimechunga ng'ombe hadi nikiwa Form 4, ningeendelea kuchunga hadi nikiwa hata Form 6 lakini ng'ombe waliisha nikiwa nd'o naingia Form 5 na ng'ombe wa mwisho kabisa kuuzwa alikuwa ng'ombe wangu). So, nitawasiliana na huyu mdau nimsikilize. Thanks Majimoto.

...wewe nawe, bonyeza kitufe cha THANKS kama post ya kijana umekuwa useful!
 
Siajsikia sifa bado :confused2::confused2:

Wakuu nawasilisha sifa za ng,ombe ninazouza kama ifuatavyo, Kwa jumla hawa ng'ombe wako katika afya bora na matunzo ya hali ya juu na kila mmoja ana sifa zifuatazo;

1. Jina- Pesesi

Aina- Brown Swiss

Amezaa mara mbili(2)

Umri miaka minne(4)

Maziwa lita 14 kwa siku

Ana mimba ya miezi 8.5

Bei 950,000/=

2. Jina - Bahati

Aina - Fresian

Amezaa mara mbili(2)

Umri miaka 5

Maziwa lita 4 kwa siku

Ana mimba miezi 4

Bei 950,000

3. Jina - Furaha

Aina - Fresian

Amezaa mara 3

Umri miaka 6

Maziwa lita 8 kwa siku

Bei 950,000/=

4. Jina - Pendo

Aina Brown Swiss

Amezaa mara 3

Umri miaka 5

Maziwa lita 4 kwa siku

Bei 750,000/=

5. Jina - Kipofu

Aina - Brownswiss

Amezaa mara 4

Umri miaka 6

Maziwa lita 7 kwa siku

Bei 900,000/=

6. Jina - Tall (New Stock)

Aina - Fresian

Amezaa mara 3

Umri miaka 6

Hakamuliwi kwa sasa

Mimba miezi 6

Bei 1,350,000/=

7. MtambA (New stock)

Aina - Ayshire

Hajazaa

Umri miaka 1.5

Bei 700,000/=

Kila la kheri kwenye,

Kilimo Kwanza :smile-big::smile-big:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom