S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,557 Reaction score 19,107 Sep 23, 2018 #181 supermarket said: Ulipoanza maranzara, nilijua utapitia maeneo ya basi na kifumbini, rudi nyuma mpaka migombani mpaka utokee dumizi au utashuka kushoto kuelekea machinjioni kupitia soko mjinga mpaka kanisani kwa masista. Mkuu google map inasaidia sana Click to expand... Umeniacha hoi sana mkuu😀😀😀 Najua hujawahi fika kabisaa huko ila umepajua kwa hisani ya gugo mapu😀😀😀
supermarket said: Ulipoanza maranzara, nilijua utapitia maeneo ya basi na kifumbini, rudi nyuma mpaka migombani mpaka utokee dumizi au utashuka kushoto kuelekea machinjioni kupitia soko mjinga mpaka kanisani kwa masista. Mkuu google map inasaidia sana Click to expand... Umeniacha hoi sana mkuu😀😀😀 Najua hujawahi fika kabisaa huko ila umepajua kwa hisani ya gugo mapu😀😀😀
supermarket JF-Expert Member Joined Sep 10, 2016 Posts 7,453 Reaction score 10,968 Sep 23, 2018 #182 Sesten Zakazaka said: Umeniacha hoi sana mkuu😀😀😀 Najua hujawahi fika kabisaa huko ila umepajua kwa hisani ya gugo mapu😀😀😀 Click to expand...
Sesten Zakazaka said: Umeniacha hoi sana mkuu😀😀😀 Najua hujawahi fika kabisaa huko ila umepajua kwa hisani ya gugo mapu😀😀😀 Click to expand...
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #183 Sesten Zakazaka said: Siku mojamoja akiwa anakupatia vimakofi viwili vitatu vyepesi nitakua nampa sheria yeye wakati ukileta kesi, sio kwa kumuonea huko aisee😀😀😀 Click to expand... hii ni ruhusu unajua bwana shemeji nimeikubali mimi
Sesten Zakazaka said: Siku mojamoja akiwa anakupatia vimakofi viwili vitatu vyepesi nitakua nampa sheria yeye wakati ukileta kesi, sio kwa kumuonea huko aisee😀😀😀 Click to expand... hii ni ruhusu unajua bwana shemeji nimeikubali mimi
Savage Dad JF-Expert Member Joined Jul 10, 2018 Posts 1,388 Reaction score 2,611 Sep 23, 2018 #184 Madame S said: hahaha huyo mama mtaani kwangu ni maarufu kwa hizo ngoma Na sjui why zinajaaga mashoga ndio wachezaji Me sjambo kaka angu hofu kwako Click to expand... Hizo huku kwetu zinaitwa Ngoma za Vibuki.
Madame S said: hahaha huyo mama mtaani kwangu ni maarufu kwa hizo ngoma Na sjui why zinajaaga mashoga ndio wachezaji Me sjambo kaka angu hofu kwako Click to expand... Hizo huku kwetu zinaitwa Ngoma za Vibuki.
S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,557 Reaction score 19,107 Sep 23, 2018 #185 Archduke said: bwana shemeji umeniwahi kuuliza hili swali kwanza, samahani bwana kwa kutokupa taarifa ila nilichokuahidi ndicho nilichotekeleza heshima yako bwana shemeji, habari za wikiend? Click to expand... Wikiendi iko poa kabisa bwana shemeji Mimi nimefurahi kua hukuleta longolongo, uliahidi utayamaliza na kweli ukafanya hivyo, hongera sana Kuhusu kutonipa feedback usijali sana maadam yamekwisha basi mimi nimefurahi
Archduke said: bwana shemeji umeniwahi kuuliza hili swali kwanza, samahani bwana kwa kutokupa taarifa ila nilichokuahidi ndicho nilichotekeleza heshima yako bwana shemeji, habari za wikiend? Click to expand... Wikiendi iko poa kabisa bwana shemeji Mimi nimefurahi kua hukuleta longolongo, uliahidi utayamaliza na kweli ukafanya hivyo, hongera sana Kuhusu kutonipa feedback usijali sana maadam yamekwisha basi mimi nimefurahi
S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,557 Reaction score 19,107 Sep 23, 2018 #186 AmorEy said: Hizo huku kwetu zinaitwa Ngoma za Vibuki. Click to expand... Wapi huko mkuu?
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #187 Madame S said: saa hizi had ukupurushwe beb Click to expand... hapana muda ulikuwa bado si unaona ushanianzishia mapya hapa
Madame S said: saa hizi had ukupurushwe beb Click to expand... hapana muda ulikuwa bado si unaona ushanianzishia mapya hapa
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Sep 23, 2018 #188 Vibuki kwa kiswahili sanifu ni nn mkuu AmorEy said: Hizo huku kwetu zinaitwa Ngoma za Vibuki. Click to expand...
Vibuki kwa kiswahili sanifu ni nn mkuu AmorEy said: Hizo huku kwetu zinaitwa Ngoma za Vibuki. Click to expand...
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #189 Madame S said: aisee nimeona aibu wallah, huyu n jirani yangu bana tunakua tunapishana tu Click to expand... endelea tu usijali baby
Madame S said: aisee nimeona aibu wallah, huyu n jirani yangu bana tunakua tunapishana tu Click to expand... endelea tu usijali baby
S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,557 Reaction score 19,107 Sep 23, 2018 #190 Archduke said: hii ni ruhusu unajua bwana shemeji nimeikubali mimi Click to expand... Makofi mepesi lakini shemeji sio yale ya kiafande afande
Archduke said: hii ni ruhusu unajua bwana shemeji nimeikubali mimi Click to expand... Makofi mepesi lakini shemeji sio yale ya kiafande afande
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Sep 23, 2018 #191 Archduke said: hapana muda ulikuwa bado si unaona ushanianzishia mapya hapa Click to expand... muda haukungoji wajua?? Hahahaha usiniulize nachocheka
Archduke said: hapana muda ulikuwa bado si unaona ushanianzishia mapya hapa Click to expand... muda haukungoji wajua?? Hahahaha usiniulize nachocheka
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Sep 23, 2018 #192 Nwanae anaenyanyua mkono wake kumpiga mwanamke hata darasani hakuwah nyanyua mkono akajibu swali, nasubiri utekelezaji wa hiyo ruhusa. Archduke said: hii ni ruhusu unajua bwana shemeji nimeikubali mimi Click to expand...
Nwanae anaenyanyua mkono wake kumpiga mwanamke hata darasani hakuwah nyanyua mkono akajibu swali, nasubiri utekelezaji wa hiyo ruhusa. Archduke said: hii ni ruhusu unajua bwana shemeji nimeikubali mimi Click to expand...
Savage Dad JF-Expert Member Joined Jul 10, 2018 Posts 1,388 Reaction score 2,611 Sep 23, 2018 #193 Sesten Zakazaka said: Wapi huko mkuu? Click to expand... Zanzibar Mkuu,sijawa na elimu nayo haya maswala ila hizo ngoma hukuemo sana mashoga na wasakaji kidogo hivi karibuni zimepungua.
Sesten Zakazaka said: Wapi huko mkuu? Click to expand... Zanzibar Mkuu,sijawa na elimu nayo haya maswala ila hizo ngoma hukuemo sana mashoga na wasakaji kidogo hivi karibuni zimepungua.
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Sep 23, 2018 #194 Sesten Zakazaka said: Makofi mepesi lakini shemeji sio yale ya kiafande afande Click to expand... aisee
Sesten Zakazaka said: Makofi mepesi lakini shemeji sio yale ya kiafande afande Click to expand... aisee
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #195 Sesten Zakazaka said: Wikiendi iko poa kabisa bwana shemeji Mimi nimefurahi kua hukuleta longolongo, uliahidi utayamaliza na kweli ukafanya hivyo, hongera sana Kuhusu kutonipa feedback usijali sana maadam yamekwisha basi mimi nimefurahi Click to expand... asante sana bwana shemeji....tufurahi sote uzima upo lakini?
Sesten Zakazaka said: Wikiendi iko poa kabisa bwana shemeji Mimi nimefurahi kua hukuleta longolongo, uliahidi utayamaliza na kweli ukafanya hivyo, hongera sana Kuhusu kutonipa feedback usijali sana maadam yamekwisha basi mimi nimefurahi Click to expand... asante sana bwana shemeji....tufurahi sote uzima upo lakini?
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Sep 23, 2018 #196 Eeh bora we umethibisha aione Retired AmorEy said: Zanzibar Mkuu,sijawa na elimu nayo haya maswala ila hizo ngoma hukuemo sana mashoga na wasakaji kidogo hivi karibuni zimepungua. Click to expand...
Eeh bora we umethibisha aione Retired AmorEy said: Zanzibar Mkuu,sijawa na elimu nayo haya maswala ila hizo ngoma hukuemo sana mashoga na wasakaji kidogo hivi karibuni zimepungua. Click to expand...
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #197 Sesten Zakazaka said: Makofi mepesi lakini shemeji sio yale ya kiafande afande Click to expand... sawa bwana shemeji nimekuelewa
Sesten Zakazaka said: Makofi mepesi lakini shemeji sio yale ya kiafande afande Click to expand... sawa bwana shemeji nimekuelewa
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #198 Madame S said: muda haukungoji wajua?? Hahahaha usiniulize nachocheka Click to expand... nimeelewa lakini
Madame S said: muda haukungoji wajua?? Hahahaha usiniulize nachocheka Click to expand... nimeelewa lakini
S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,557 Reaction score 19,107 Sep 23, 2018 #199 Madame S said: kuna mtu anaitwa mohammed makalo me ndio namfaham Click to expand... Yupo Tanga? Huyu Mzee Makallo ana watoto mabinti zake kina Saida na Barke ni maarufu pia pande hizo
Madame S said: kuna mtu anaitwa mohammed makalo me ndio namfaham Click to expand... Yupo Tanga? Huyu Mzee Makallo ana watoto mabinti zake kina Saida na Barke ni maarufu pia pande hizo
Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,223 Reaction score 16,900 Sep 23, 2018 #200 Madame S said: Nwanae anaenyanyua mkono wake kumpiga mwanamke hata darasani hakuwah nyanyua mkono akajibu swali, nasubiri utekelezaji wa hiyo ruhusa. Click to expand... kwanza nilikuwa back bencher nadhani unaelewa sifa zetu wazee wa back
Madame S said: Nwanae anaenyanyua mkono wake kumpiga mwanamke hata darasani hakuwah nyanyua mkono akajibu swali, nasubiri utekelezaji wa hiyo ruhusa. Click to expand... kwanza nilikuwa back bencher nadhani unaelewa sifa zetu wazee wa back