Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 4,723
- 7,794
Hii siyo ya kweli.Hata Trump kashindwa kujizuia imebidi amtafute Le Capitaine apige naye picha!
View attachment 3342654
Hii siyo ya kweli.Hata Trump kashindwa kujizuia imebidi amtafute Le Capitaine apige naye picha!
View attachment 3342654
Tatizo unachukuaga vitu serious sana sasa hapo hujaelewa kama jamaa kaamua tu kuzingua?Huu Uzi asiuone Nyani Ngabu maana anaweza kutapika……🤣🤣
Nikisemaga IQ za Waafrika ziko kwenye low single digits huwa sitanii. Huwa namaanisha haswa!
Mbona kauanzisha yeye mwenyewe. Sasa atatapikaje?Uzi asiuone Nyani Ngabu kama anakula atatapika😂
Waafrika wanapenda wanajeshi jamani.Hakika hiki kimbunga cha Ibrahim Traore hakizuiliki.
Huenda hata kukiita kimbunga ni kutokukitendea haki.
Hili ni tsunami kabisa.
Mwanamuziki nguli wa R&B kutoka jiji la Chicago, jimbo la Illinois, R. Kelly, kaachia wimbo matata sana akimpongeza Rais wa Afrika, Le Capitaine Ibrahim Traore na kumuomba Mungu amlinde Rais wetu huyo.
Wimbo huo hivi sasa uko kwenye tano bora katika chati za Billboard na unatarajiwa kuwa namba moja ifikapo Jumapili ya wiki hii.
🤣🤣😉😉
Go figure 🤣.Mbona kauanzisha yeye mwenyewe. Sasa atatapikaje?
The Cult of Saint Traore!
Naona Traole ametuma watu wake wa Propaga mitandaoni wanaotumia AI generated contents kwenda Tanzania kuisaidia vijana wa serikali kutengeneza contents. Sasa hivi wakuna Stuxnet wanajiachia nazo tu mitandaoniHakika hiki kimbunga cha Ibrahim Traore hakizuiliki.
Huenda hata kukiita kimbunga ni kutokukitendea haki.
Hili ni tsunami kabisa.
Mwanamuziki nguli wa R&B kutoka jiji la Chicago, jimbo la Illinois, R. Kelly, kaachia wimbo matata sana akimpongeza Rais wa Afrika, Le Capitaine Ibrahim Traore na kumuomba Mungu amlinde Rais wetu huyo.
Wimbo huo hivi sasa uko kwenye tano bora katika chati za Billboard na unatarajiwa kuwa namba moja ifikapo Jumapili ya wiki hii.
🤣🤣😉😉
YouTube kumejaa AI videos za Traore!Naona Traole ametuma watu wake wa Propaga mitandaoni wanaotumia AI generated contents kwenda Tanzania kuisaidia vijana wa serikali kutengeneza contents. Sasa hivi wakuna Stuxnet wanajiachia nazo tu mitandaoni
Hahahaaaaa.Mkuu yaani umemuingiza king mbaya sana alafu ukaipiga king yake kwa kete ya kawaida.Go figure 🤣.
Alipoona jina la Traore hakujisumbua kuangalia nani mwanzilishi wa mada.
Moja kwa moja akaniwaza mimi halafu baadaye ndo akaja kujifanya eti alikuwa anatania…..
AIHakika hiki kimbunga cha Ibrahim Traore hakizuiliki.
Huenda hata kukiita kimbunga ni kutokukitendea haki.
Hili ni tsunami kabisa.
Mwanamuziki nguli wa R&B kutoka jiji la Chicago, jimbo la Illinois, R. Kelly, kaachia wimbo matata sana akimpongeza Rais wa Afrika, Le Capitaine Ibrahim Traore na kumuomba Mungu amlinde Rais wetu huyo.
Wimbo huo hivi sasa uko kwenye tano bora katika chati za Billboard na unatarajiwa kuwa namba moja ifikapo Jumapili ya wiki hii.
🤣🤣😉😉
Nyani hivi Kelly alishatoka jela?Hakika hiki kimbunga cha Ibrahim Traore hakizuiliki.
Huenda hata kukiita kimbunga ni kutokukitendea haki.
Hili ni tsunami kabisa.
Mwanamuziki nguli wa R&B kutoka jiji la Chicago, jimbo la Illinois, R. Kelly, kaachia wimbo matata sana akimpongeza Rais wa Afrika, Le Capitaine Ibrahim Traore na kumuomba Mungu amlinde Rais wetu huyo.
Wimbo huo hivi sasa uko kwenye tano bora katika chati za Billboard na unatarajiwa kuwa namba moja ifikapo Jumapili ya wiki hii.
🤣🤣😉😉
Mambo ya AI, embu punguzeni sasaHakika hiki kimbunga cha Ibrahim Traore hakizuiliki.
Huenda hata kukiita kimbunga ni kutokukitendea haki.
Hili ni tsunami kabisa.
Mwanamuziki nguli wa R&B kutoka jiji la Chicago, jimbo la Illinois, R. Kelly, kaachia wimbo matata sana akimpongeza Rais wa Afrika, Le Capitaine Ibrahim Traore na kumuomba Mungu amlinde Rais wetu huyo.
Wimbo huo hivi sasa uko kwenye tano bora katika chati za Billboard na unatarajiwa kuwa namba moja ifikapo Jumapili ya wiki hii.
🤣🤣😉😉
Hiyo ni fake, AIMwamba ameshatoka nyuma ya nondo au ndio vile anafanya kazi zake akiwa kulekule?
Including yourself!Huu Uzi asiuone Nyani Ngabu maana anaweza kutapika……🤣🤣
Nikisemaga IQ za Waafrika ziko kwenye low single digits huwa sitanii. Huwa namaanisha haswa!
🖕Including yourself!
Hiyo ni AI sio R kelly halisi, jamaa bado yupo lupangoHiyo video mbona haina shaka yoyote.
Huhitaji hata kuiangalia mara mbilimbili.