Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ngoma yetu ya asili watu wa manda ludewa inaitwa MGANDA. Tunacheza tukiwa tumevaa kaptula nyeupe na mashati meupe huku tukipuliza "ligubu" na tukiwa tumeshika mkia wa ng'ombe mkononi. Ngoma ya kwenu inaitwaje? Ni ya kabila gani?