Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,340
Unaona sasa unavyoandika kidingi kabisa kijana mzima yale majukwaa yameshakuharibuKumbe nilikua namuuliza muimba taarabu!
Haya nenda kajiunge na mzee Yusufu kabla nafasi hazijazaa.
Unaona sasa unavyoandika kidingi kabisa kijana mzima yale majukwaa yameshakuharibuKumbe nilikua namuuliza muimba taarabu!
Haya nenda kajiunge na mzee Yusufu kabla nafasi hazijazaa.
King wakitu gani?Unatesekaaa?
King is Baaaaaaaaaaack
Ushamwekea maji ya kuoga?Anaumwa njoo umpe tiba
Damn huku ushuani bana, tunabonya tuUshamwekea maji ya kuoga?
Kuwa muhuni kuna rules zake..King wakitu gani?
wahuni wote hatusikilizi nyimbo za kidada
Ila unaskiliza za zuchu et mkuu!King wakitu gani?
wahuni wote hatusikilizi nyimbo za kidada
Kama ambavyo Maywether anavyojitangaza ana pesa kumbe hana, au 50 cent anavyojifanya ni Mafia kuliko Ja rule kumbe sio Mafia au sio.Kuwa muhuni kuna rules zake..
1. Muhuni huwa hajisemi / hajitangazi kuwa muhuni
Uhuni ni nini?2. Uhuni hujionesha wenyewe.
Mpaka bibi yako aanze kurudiVipi form 4 mnarudi lini shule?
Eeeh! Home girl lazima ni-support na kwa King wa mawaki lazima nifanye fitnaIla unaskiliza za zuchu et mkuu!
Wanga walianza hivihiviHiyo nyimbo bado sijaisklza ila ni kali sana...
#king
Mimi sijaongelea maswala ya pesa, hayo umekuja nayo. Pia, Mayweather sijui 50 inategemea na namna ambavo wanaku influence wewe / wewe kuwa fan wao na kuwafatilia, unanambia Ja Rule mafia, unajua maana hata ya u Mafia ni nini au kitu gani? Shithead..Kama ambavyo Maywether anavyojitangaza ana pesa kumbe hana, au 50 cent anavyojifanya ni Mafia kuliko Ja rule kumbe sio Mafia au sio.
Uhuni ni nini?
Na hujionyeshaje?
Mpaka bibi yako aanze kurudi
Dumb*ss get lost i may ruin your day so badly!Mimi sijaongelea maswala ya pesa, hayo umekuja nayo. Pia, Mayweather sijui 50 inategemea na namna ambavo wanaku influence wewe / wewe kuwa fan wao na kuwafatilia, unanambia Ja Rule mafia, unajua maana hata ya u Mafia ni nini au kitu gani? Shithead..
Unarudisha tena swali kwangu, ilihali wewe ndio umejiita muhuni, sasa unajiita kitu ambacho huna uelewa nacho? Shule ulipita kweli mkuu?Kama ambavyo Maywether anavyojitangaza ana pesa kumbe hana, au 50 cent anavyojifanya ni Mafia kuliko Ja rule kumbe sio Mafia au sio.
Uhuni ni nini?
Na hujionyeshaje?
Mpaka bibi yako aanze kurudi
Wakupuuzwa na ww team kibakuri, nimekwambia naishi madaleVipi Anko Shamte kaamkaje hapo madale?
Amkeni Amkeni King Kiba kaachia Mkwaju Mpya.
anavyojikuta mjuaji sasa.Wakupuuzwa na ww team kibakuri, nimekwambia naishi madale
Shule si alinipeleka mamako au umesahau we kiande.Unarudisha tena swali kwangu, ilihali wewe ndio umejiita muhuni, sasa unajiita kitu ambacho huna uelewa nacho? Shule ulipita kweli mkuu?
Mimi nimesema uhuni hujionesha, kwahiyo siwezi kukwambia kitu ambacho kinajionesha kwa namna yake, kwahiyo hayo maswali ulipaswa kutoa majibu yake wewe, sio Mimi. Jifunze kuwa unaelewa, usikariri.
unafurahisha sana mkuu.. muhuni wa nyuma ya Keyboard. Aya nasubiri kuonyeshwa mzeeanavyojikuta mjuaji sasa.
Ngoja nimuonyeshe uwendawazimu wangu niachieni
Bado una umri mdogo sana dogo.. hata matusi yako na namna unaandika ni rahisi kujionesha..!Shule si alinipeleka mamako au umesahau we kiande.
Na hapa hatusemi tunaandika tu