Ngoja niropoke

Ngoja niropoke

Mkuu mshana mbona majibu yako waziiiiii. Elimu hii inasidia Sana kuwatia nguv wanawake kiuchumi, kijamii na kitamaduni kwenda against na mfumo mdume. Elim Kwa mwanamke inamfanya mwanamke asione uhitaji mkubwa wa wanaume kwani anaweza kujitegemea. Hili linapeleka kujiona Sawa kithamani na mwanaume. Kwa kudai usawa na kuheshimika kunaongeza kiburi katika ndoa. Hii Inapelekea mwanaume kutaka heshima kama MUME. HILI ndo tatizo LENYEW.
Jibu la kupunguza tatizo Hilo ni wanaume tupunguze mfumo dume (MASCULINITY)
 
Yes my dear, nini cha kufia? For what? For who?
For beef sausage
giphy.gif
 
Kaka Mshana hii mada inahitaji kikao maalumu, mfano, kwa nini naoa, kwanini naolewa, why, faida ya nani, ana nini, nina nini, je kwa vigezo gani, vya kimungu, vya muda vya kudumu, kipimo cha mwili, roho na nafsi kati ya wahusika wamejimaje, ndoa ni kama research proposal presentation bila majadiliano na urafiki wa kweli hamna kitu.
 
Kuna habari iliwahi kuripotiwa na gazeti la Tanzania kuwa rushwa ya ngono imeshamiri vyuo vikuu.

Lakini pia rushwa ya ngono imeshamiri sehemu za kazi/maofisini

Idadi kubwa ya wanawake wanatumika kingono na wahadhiri wao ili waweze kufaulishwa lakini pia wanapopata ajira wanatembea na maboss ili waweze kupanda juu zaidi.

Hayo yote yanachangia ongezeko la kudai TALAKA.

TAKUKURU wanapaswa wachunguze na wazuie hii rushwa ya ngono kwani ndio inachangia ndoa nyingi kuvunjika.
 
Kaka Mshana hii mada inahitaji kikao maalumu, mfano, kwa nini naoa, kwanini naolewa, why, faida ya nani, ana nini, nina nini, je kwa vigezo gani, vya kimungu, vya muda vya kudumu, kipimo cha mwili, roho na nafsi kati ya wahusika wamejimaje, ndoa ni kama research proposal presentation bila majadiliano na urafiki wa kweli hamna kitu.
Mwanamwaiche kama bado hujakomaa kiakili si vema kuoa kwakuwa ndoa ni zaidi ya haya tunayosimuliwa
 
Kinachowasaidia wanawake ni kwamba wanaume kwa kiasi kikubwa hawana ujasiri wa kumwacha mke kutokana na asili yao ilivyo, ukiona ndoa imevunjika mara zote ni mwanamke ndo anakuwa kaamua kuondoka. Kwa hiyo wanaume wanachofanya kwa wanawake vichwa maji ni kutafuta mchepuko au kuoa mke mwingine na hilo linakuwa limewapa ahueni. Kwa hiyo jitihada nyingine wanazofanya wanawake vichwa maji ni kuhakikisha mume wake haoi mke mwingine au kudumu na mchepuko ili aendelee kumthibiti na kumfanyia vitimbwi.​
 
Back
Top Bottom