Kati ya dudu mbaya a.k.a Mambaz na mimi dudu langu a.k.a 🐴 lipi jina poisonous👌 Ila inabidi ubadili ID name kamanda
Wakupe weweWakupe mrejesho wewe!?
Wapi nimecriticize wahadzabe ? Nimekuambia mbona wao wanaishi maisha yao bila hilo dhumuni , hawana muda wa kufikiria mambo ya sehemu nyingine. wote ni binadamu tunakamilisha phase tatu ; kuzaliwa , kuishi na kufa .Yaani maandishi yako yanamkanganyiko sana... Umesema hakuna dhumuni...
Then tena ukasema maisha hayana maana..
Bado tena uka criticize jamii ya wahadzabe. Kwa kukosa dhumuni.
Je kipimo cha dhumuni ni kipi hasa?
Maana kila kitu kina dhumuni... Mmea hutoa matunda, wanyama nao ni kitoweo.. Jua, maji, ardhi, na vinginevyo vyote vinadhumni la kuwepo... Sasa Unaposema hakuna dhumuni una maana ipi?
Kufa na kuzaliwa hiyo ni kwa kila kiumbe.
Hii ni critic huwezi kusema wanaishi bila dhumuni.. Kila jamii ina mila na destuli zao... Kwani nilipo sema dhumuni kwa kila kiumbe nilimaanisha nini? Sio pesa, wengine existence yao tu ni dhumuni toshaa... Kipepeo uwepo wake tu ni dhumuni tayari ukimwona tu una feel something.Wapi nimecriticize wahadzabe ? Nimekuambia mbona wao wanaishi maisha yao bila hilo dhumuni , hawana muda wa kufikiria mambo ya sehemu nyingine. wote ni binadamu tunakamilisha phase tatu ; kuzaliwa , kuishi na kufa .
Mmh mbona sikuelewi???Hakuna dhumuni maisha ni ndoto , a,mbayo utaishi muda mrefu kama mfu kuliko ulivyokuwa hai . Kuna watu wanaishi porini kama huko Amazon , hawatumii hata pesa ila wanaishi fresh na wanazaliana ..Maisha yako ni kivyako la ujiwekee madhumuni yako, wengi wenu mnafuta mkumbo wa nchi nyingine .
Kwa nn unaweka point , hzio nyingine sio universal ila universal ni kuzaliwa , kuishi na kufa basiHii ni critic huwezi kusema wanaishi bila dhumuni.. Kila jamii ina mila na destuli zao... Kwani nilipo sema dhumuni kwa kila kiumbe nilimaanisha nini? Sio pesa, wengine existence yao tu ni dhumuni toshaa... Kipepeo uwepo wake tu ni dhumuni tayari ukimwona tu una feel something.
Mmh mbona sikuelewi???
Utaishi sana ukiwa mfu au hai? ... 😬
Dhumuni sio mahala au achievement fulani ni kusudi la wewe kuwepo..
Actually kuzaliwa kuishi na kufa sio dhumuni ni cycle ya nature...Kwa nn unaweka point , hzio nyingine sio universal ila universal ni kuzaliwa , kuishi na kufa basi
Hii nguvu Ina uhusiano wowote ule na Majini na mizimu!?Super natural power iitwayo Mungu,Haina uhusiano na dini yoyote wewe itumie tu ku harness kilichobora usifungwe na Imani ya kidini coz dini ni mtego wa kutawala the weak!!
Fanya KAZI kwa bidii tumia hiyo nguvu utafanikiwa,sio lazima uwe mtumwa wa kanisa na msikiti!!!!
Kuwa huru ,iite nguvu hiyo kwa sauti ya kawaida na sema unachikitaka halafu fanyia kazi utaona mambo yanaenda!!
Labda nikwambie tuu ya kuwa hakuna kitu Kama hicho... Ni matapeli tu wa kidini ndo walikuja na dhana za makini.Hii nguvu Ina uhusiano wowote ule na Majini na mizimu!?
Nadhani bado Kuna mambo mengi watu hamyafahamu na Bado tupo kwenye safari ya kujifunzaLabda nikwambie tuu ya kuwa hakuna kitu Kama hicho... Ni matapeli tu wa kidini ndo walikuja na dhana za makini.
The God and the devil are both in you.... You have to make them your friend, yaani devil Mfanye akufundishe madhaifu yako na God mfanye akufundishe strength zako.
No external force can destroy you without your concern
Unajua nini, ni kheri ungekuja na facts kabisa...Nadhani bado Kuna mambo mengi watu hamyafahamu na Bado yupo kwenye safari ya kujifunza
Binafsi nimejifunza kwenye maisha yangu kutokupinga jambo ambalo Sina ufahamu nalo /ushahidi nalo
Topic Yako ni nzuri sana Ina mafundisho mazuri ndani yake lakini ktk hili ulilonijibu yaonyesha wazi kwenye upande huo bado haufahamu kitu
ephen_ siku hizi umeanza kuvuta ya meru 😄😄. Mbona jamaa kaongelea ukweli wa maisha?Elevenn anachekesha kama sio ndugu yako