Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

lara1 hujui kuwa akitaka jua kama umesafiri atajua tu kwa kukuomba passport?
Watu hata kudanganya hamjui

Hawezi kwani mi majinga nimpe passport yangu? Mpaka katoa hio hela haikuwa kazi nyepesi nimempa referal ya Dr. Muhimbili, chezea nguvu ya muhuri na kuaminika kwa Dr. Ye ataniangalia ugonjwa umepungua?
 
Mimi ukiniweka blacklist natumia namba nyingine kukupigia simu. Pia kwani ukienda kutibiwa ndio mawasiliano yanakatika au sijakuelewa vizuri hapo lara?
Simu gharama tunatumia EMAIL, na face book kuwasiliana. Sasa akiona line ya voda inapatikana si ataona uhuni huu sasa?
 

Kaka imepita mda gan tangu umbambe uyo dem
 
na nyie mnayatafutaga acha yawakute, unamuhudumia mtu ambae wala si mkeo wala ndunguyo kisa nini? umekuwa mzazi wake au kaka yake?

mrsleo kwa mwelekeo wa post yako nahisi upo kwenye ndoa. Je kabla hujaingia kwenye ndoa, hukugharamiwa na aliyekuwa mchumba hata siku moja?
 
wanaume mabwege hawaishi!wakiingia anga zako we kamua tu
Tena we Chizenga ningekupata bila hata stress! Sio WANAUME MABWEGE, SEMA WANAWAKE SMART TUNAJILIA KIULAINI.
THE BIGGER THE LIE THE EASIER IT IS BELIEVED! Ningemdanganya naenda TMJ angesema twende nikupeleke. ILA NJE HATA MTU AKIENDA JIONI HII AMWAMBIE LARA1 ANAKUCHOTA KINGI ATAMUONA HANA HURUMA KWA MGONJWA MIE, HOW CAN HE THINK THAT LOW OF A SICK PERSON..???
 
hahahahaah!!!!! jamani, mpaka mpewe sababu ndio mcheue mayuro. we mrushie nauli mwenzio arudi. loh
 


Shikamoo kubwa la maadui!
 
Hongera sana mkuu kwa kupata changamoto ambazo zitakukomaza akili. Ktk mahusiano. Tatizo nawewe unamuwazia sana. Akikwambia anasepa wewe kausha then fanya yako. Lol l l l .
 

mwishowe akuone mjini kwenye mishe mishe kama huyo binti kwenye mada utajielezaje
 
sasa kwa nini mpaka leo ujanitumia nilirudi jmosi bwana ... mbona hivyo tena sikutaki tena mwanaume unaombwa hela mda wote hutumi ndo nini.... alafu nataka laki mbili naomba nitumie

hahahaha hapo baada ya kukuona ndo kashapata sababu hatumi tena lol
 
mrsleo kwa mwelekeo wa post yako nahisi upo kwenye ndoa. Je kabla hujaingia kwenye ndoa, hukugharamiwa na aliyekuwa mchumba hata siku moja?

Aisee me hela ya mme wangu naifaidi sasahv lakn enzi za kudate niliishia kupelekwa outing na kununuliwa vizawad basi, lakn pia haikuwa inanisumbua manake me si muombaji hela kwa mwanaume cjawah, sijazoea na siwez kwanza na mpaka niombe ujue nimebanwa hasa na sitakwambia naomba ntakwambia nikopeshe, alikuaga ananishangaa
 
Hahahaaa... siku izi wasichana wana kila mbinu za kudanganya ili wapate pesa...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…