Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

Simba Mkali

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
620
Reaction score
243
Nina demu mmoja wa Kichaga huwa tunaburudishana kwa kupeana vyetu,ni mzuri kwelikweli kiasi hata cha kunifanya kwa nini amekuwa Mchaga kwa kuwa ana shepu balaa...

Sasa juzi kati akanipigia simu akiniambia eti anakwenda Moshi kwa bahati ambaya sikuwa na fedha za nauli nikamwambia asubiri.

Baada ya siku tatu akanipigia akisema kuwa ameshapata nauli na yuko Moshi... daaa! akaniambia sasa jukumu langu ni kumpa nauli ya kurudi, nikaona ni sawa, kwenye mitandao ya kijamii akaanza kuweka picha akiwa kijijini, nikaamini kuwa yuko old Moshi.
Ijumaa akanipigia simu kama nimepata nauli ya kumtumia, nikamwambia Jumapili nitamtumia nauli ili arudi tuendelee na mambo yetu, eeeeh Jumamosi asubuhi nakatiza sehemu nikamuona anashuka ndani ya bajaji, bahati mbaya eneo hilo kuna mtu anafahamu uhusiano wetu.

Akaingia ndani kwa mtu anayejua mambo yetu, miye nikapata fursa ya kujibanza sehemu ili nimuone vizuri.

Dakika chache tu akatoka ndani mbio huku akiangaza huku na kule, nahisi aliambiwa uwepo wangu maeneo yale na mtu anayejua uhusiano wetu ambaye kuna muda aliniona na kusalimiana.

Mpaka leo sijapata simu yake... siju alijua kama nimemuona au... nasubiri sana simu yake....mademu wengine bwanaaa... najitahidi kummhudumia lakini halidhiki anaendeleza mila za kizamaniiiiiiii....Ananiona miye falaaa...
 
Duuu! Mkuu pole sn. Hapo anajipanga ataanzaje...na wewe usimtafute.
 
Pole Mkuu. Dunia ya sasa sijui imeingiliwa na mdudu gani.

We Jikaushe kama hukumuona, endelea tu kama kauzu uone mwishowe utakuaje! Ila hayo mambo mengine UACHE kwa kwa sababu za kiitelijensia.
 
We nae kumzungusha zungusha hivo ndo nini?
mara kesho mara jumapili, mwenzio ana shida na hela ale ujana au?
 
Nina demu mmoja wa Kichaga huwa tunaburudishana kwa kupeana vyetu,ni mzuri kwelikweli kiasi hata cha kunifanya kwa nini amekuwa Mchaga kwa kuwa ana shepu balaa... sasa juzi kati akanipigia simu akiniambia eti anakwenda Moshi kwa bahati ambaya sikuwa na fedha za nauli nikamwambia asubiri.
Baada ya siku tatu akanipigia akisema kuwa ameshapata nauli na yuko Moshi... daaa! akaniambia sasa jukumu langu ni kumpa nauli ya kurudi, nikaona ni sawa, kwenye mitandao ya kijamii akaanza kuweka picha akiwa kijijini, nikaamini kuwa yuko old Moshi.
Ijumaa akanipigia simu kama nimepata nauli ya kumtumia, nikamwambia Jumapili nitamtumia nauli ili arudi tuendelee na mambo yetu, eeeeh Jumamosi asubuhi nakatiza sehemu nikamuona anashuka ndani ya bajaji, baahati mbaya eneo hilo kuna mtu anafahamu uhusiano wetu. Akaingia ndani kwa mtu anayejua mambo yetu, miye nikapata fursa ya kujibanza sehemu ili nimuone vizuri.
Dakika chache tu akatoka ndani mbio huku akiangaza huku na kule, nahisi aliambiwa uwepo wangu maeneo yale na mtu anayejua uhusiano wetu ambaye kuna muda aliniona na kusalimiana. Mpaka leo sijapata simu yake... siju alijua kama nimemuona au... nasubiri sana simu yake....mademu wengine bwanaaa... najitahidi kummhudumia lakini halidhiki anaendeleza mila za kizamaniiiiiiii....Ananiona miye falaaa...

Mkuu wala usimtafute...muache afe nalo ilo.tehe tehe
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

Daaaa!!!
 
na kwa ninavyojua atakugeuzia kibao kwa lolote lile hata kwann humtafuti muda wote huo unajua ana tatizo gani ukinywea tu mada inabadilika halafu atalia hapooo kisha kesi inakwisha maana wewe ukiona machozi utaanza kumbembeleza mchezo kwisha
 
Nina demu mmoja wa Kichaga huwa tunaburudishana kwa kupeana vyetu,ni mzuri kwelikweli kiasi hata cha kunifanya kwa nini amekuwa Mchaga kwa kuwa ana shepu balaa... sasa juzi kati akanipigia simu akiniambia eti anakwenda Moshi kwa bahati ambaya sikuwa na fedha za nauli nikamwambia asubiri.
Baada ya siku tatu akanipigia akisema kuwa ameshapata nauli na yuko Moshi... daaa! akaniambia sasa jukumu langu ni kumpa nauli ya kurudi, nikaona ni sawa, kwenye mitandao ya kijamii akaanza kuweka picha akiwa kijijini, nikaamini kuwa yuko old Moshi.
Ijumaa akanipigia simu kama nimepata nauli ya kumtumia, nikamwambia Jumapili nitamtumia nauli ili arudi tuendelee na mambo yetu, eeeeh Jumamosi asubuhi nakatiza sehemu nikamuona anashuka ndani ya bajaji, baahati mbaya eneo hilo kuna mtu anafahamu uhusiano wetu. Akaingia ndani kwa mtu anayejua mambo yetu, miye nikapata fursa ya kujibanza sehemu ili nimuone vizuri.
Dakika chache tu akatoka ndani mbio huku akiangaza huku na kule, nahisi aliambiwa uwepo wangu maeneo yale na mtu anayejua uhusiano wetu ambaye kuna muda aliniona na kusalimiana. Mpaka leo sijapata simu yake... siju alijua kama nimemuona au... nasubiri sana simu yake....mademu wengine bwanaaa... najitahidi kummhudumia lakini halidhiki anaendeleza mila za kizamaniiiiiiii....Ananiona miye falaaa...

unalalamika kwani mke wako
 
..Hapo kiroho kinakuuma balaa...hata kula huli kwa raha, usingizi hupati, lol....jitahidi kijana, ndo ukubwa!!
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

Anatumia number nyingine kukupigia kitu hewani, halafu hakuruhusu upokee, anakata simu anapotea hewani mpaka siku utakapomtaarifu kuwa umerudi mjini na umamtoni wa kutunga!
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

Swaga za msituni hizi, blacklist unawaweka wasojitambua hao. Na utawaburuza sana.

Ndo maana demu nikianza kumpa senti 5 yangu anakuwa under full surveillance. Hunidanganganyi hata nukta 1.
 
bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, mjini mipango!
jamani usifanye usanii na ugonjwa utaugua kweli na utapelekwa nje......., tafuta usanii siyo kwenye magonjwa
 
Hakuwepo kijijini wala nini picha ulizoziona zilikuwa za zamani ili akukoleze, kifupi alikuwepo mjini amefungiwa na muhuni hiyo pesa aliyetaka umtumie ilikuwa kwa ajili ya kula bata wa hapa na pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom