Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
kila wizara imesimika generator standby. tena makubwa tu
Yale magenerator ya BOT inasemekana yanatosha kusambza umeme mkoa wa dodoma na singida kwa pamoja.
Hata Pale ikulu pia inawezekana kuna standby generator na standby generator
Je kwa style hii mgao utaisha.?
JK na Ngeleja
ina backup. teh teh teh
- piga marufuku matumizi ya generator anza na wizara ya Nishati. Toa mwaka mmoja kwa wizara nyingine nazo ziuze magenerator yao.
- waambie ikulu hapo wauze mageneator. waambie umeme wa taneso ukikatika na wewe unataka kukaa gizani.
Hayo ma generator ni kama kila wizara ina dowans yake