Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 26
Asipoondolewa au kujiondoa kitatokea nini?
Tutaishia kupiga kelele tu
Sadly hamna chochote kitakachotokea.
China waziri aliekuwa na dhamana ya usafirishaji imetokea ajali ya treni - kitu ambacho hana uwezo wa moja kwa moja kukizuia lakini amejiuzulu mwenyewe kwa hiari. Not in Tanzania