Well said".Hawa ni wa ukanda wetu hivyo huo ni upepo tu utapotea unaopita. Nawataka wahusika kutokuwa na hofu, hakuna wakutubabaisha hadi 2025
Ukimsikiliza lissu najiuliza kwa nini anachukiwa wakati anaongea ukweli walikataa sheria hizi kipind cha jk kuzipitisha wakatoka nje wapinzani wote, ccm ina wabunge na viongozi dhaifu sana hadi sasa maana uzalendo kwa wao ni kusema uongo.
Kama Magufuli anatwambia eti malipo mengine inabidi Watanzania tusijue basi mikataba ndo fumbo la imani.
Kulikuwa na malipo ya Us Dollars? Kumbuka Chenge migao ya pesa za madafu huwa hana muda nayo.Hii ndiyo kashfa pekee kubwa ambayo nashangaa Chenge hayupo
Haya ya kweli?Waliotajwa ni Ngeleja, Karamagi, Kigoda, Majogo, Kalemani, Mpina, Tizeba, Rashid.
- Wamo vigogo wa Polisi, TPDC.
View attachment 792858
CHANZO: NIPASHE